KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine

Inabid na bongo kuwe na hiki kitengo kwa maslahi mapana ya taifa letu
 
Mbona nasikia skendo nyingi kuwa walioko israeli kwa sasa sio waisraeli halisi?????

Ilikuwaje likaanzishwa taifa bandia kama ni kweli?????

Lini lilianzishwa???????

Na nan aliamua kulianzisha kwa kusudi gan hasa?????????

Na waisrael halisi wapogo wap?????????

Et walitaka kuanzishwa kama taifa nchini uganda mhhhhh
Maswali mengi kuliko majibu.


Mwenye kujua plzzzzzzzz
 
Nani mkali zaidi kati ya kidon ya mossad na Sad ya Fbi ??
 
Khazarians? Internal
 
Je wanahusiana na wauwaji wa Kibiti? maana naona kushabihiana kama si mfanano wa matendo na matukio
 
Je wanahusiana na wauwaji wa Kibiti? maana naona kushabihiana kama si mfanano wa matendo na matukio
Mkuu sidhani, hawana Interest na sisi. Hao wa Kibiti watakuwa wahuni tu fulani
 
Bro mie natafuta soft copy ya Moshe Dayan kitabu kinaitwa THE DUET IN BEIRUT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…