mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,555
- 6,972
- Thread starter
- #141
Mkuu mngony napenda sana thread zako maana najifunza mengi sana.Tatizo nakua sizioni kwa wakati.Kama hii nimeiona leo!
nashkuru mkuu, wote tunajifunza, mimi siwezi kuingia JF bila kuingia hili jukwaa kuangalia kuna nini. nikiweza kushare chochote ntakuwa naku tag mkuu.
Last edited by a moderator: