KIDON, unawajua hawa? The deadliest killing machine

Mkuu mngony napenda sana thread zako maana najifunza mengi sana.Tatizo nakua sizioni kwa wakati.Kama hii nimeiona leo!

nashkuru mkuu, wote tunajifunza, mimi siwezi kuingia JF bila kuingia hili jukwaa kuangalia kuna nini. nikiweza kushare chochote ntakuwa naku tag mkuu.
 
Last edited by a moderator:
nashkuru mkuu, wote tunajifunza, mimi siwezi kuingia JF bila kuingia hili jukwaa kuangalia kuna nini. nikiweza kushare chochote ntakuwa naku tag mkuu.

Nashukuru pia mkuu.Hilo ndilo hasa nililokua nalitaka,na ID yangu rahisi sana huwezi sahau.Nitashukuru sana.
Hongera na uzidi kushare na sisi.
 
nimejaribu sana kuapload lakini inaiambia errors, ngoja niendelee kujaribu

MKuu salute kwako..napenda sana kufuatilia thread zako..naomba uwe unanitag..upo vizuri..nikisoma huwa napata hisia flani hivi kichwani
 
Nashukuru pia mkuu.Hilo ndilo hasa nililokua nalitaka,na ID yangu rahisi sana huwezi sahau.Nitashukuru sana.
Hongera na uzidi kushare na sisi.

Sawa na ahsante mkuu
 
MKuu salute kwako..napenda sana kufuatilia thread zako..naomba uwe unanitag..upo vizuri..nikisoma huwa napata hisia flani hivi kichwani

Ahsante, ninvitabu tu hivyo. Okey tutakuwa tuna tag pale tunapo share tuliyoyapitia, shukrani mkuu.
 
Mission zao za ukweli alafu bila alama yeyote kubaki [emoji1531] iko poah sana
 
Epsode 2 mbona sijaiona au bado hujapata nafasi mngony
 
kuna viumbe tz inabidi vipotezwe tu maana ni hasara tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…