Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pamoja na umahili wao lakini hapo kwenye red mbona haiingii akilini? Imekaa kimuvi muvi zaidi.unaambiwa huyu shooter anauwezo wa shoot accurately katika speed yeyote bila kupepesuka hata kidogo yani hakuna hata kutingishika akilenga mwendo kasi wowote ule,au kurusha bomu likanasa katika sehemu ya gari anayotaka linase na asionekane
pamoja na umahili wao lakini hapo kwenye red mbona haiingii akilini? Imekaa kimuvi muvi zaidi.
I think the book titled "By way of Deception by Victor Ostrovisky" has got many details to tell including the stories of what Kidon did to assassinate some of the Israel perceived enemies.
pamoja na umahili wao lakini hapo kwenye red mbona haiingii akilini? Imekaa kimuvi muvi zaidi.
Sawa mkuu. pengine na tanzania tunao watu wa dizaini hiyo.ndio maana ya kuwepo kitengo kama hicho, kazi km hzo ambazo unaona ni za kufikirika. Ndio maana pia wako wachache sana kwenye kitengo hicho, ni watu wenye uwezo hasa! Ingia kwenye hicho kitabu utaona mengi zaidi! Ndibalema
Angeanza hata na Karate na Judo kwanza.....Krav Maga ni kumu-overdoseAnza na kitu inaitwa Krav Maga
Anza na kitu inaitwa Krav Maga
Krav Maga aka Israeli jiu jistu