Majaribu2013
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 952
- 1,049
Watalaam nisaidieni,
wiki moja ilopita niliumia mguuni kwa kujikwaa kwenye ubao juu ya kisigino. kulionekana kama kubaki shimo, japo damu haikutoka sana na badala yake kama vimiminika vya mafuta viliendelea kutoka.
sasa kimekuwa kikifunga ukioga tu kinafunguka na juzi kimeanza kutoa usaha. ukilala ukiamka kimekauka fresh ukioga tu kinarudi upya, kumekuwa pia na maumivu makali kama kinajivuta lakini kikishajivuta baadae kinapasuka na usaha unatoka kama rangi ya damu, watu wananiambia ndo kinaelekea kupona,
je eti kitapona kwa style hii? nitumie dawa gani au nifanye kitu gani?
wiki moja ilopita niliumia mguuni kwa kujikwaa kwenye ubao juu ya kisigino. kulionekana kama kubaki shimo, japo damu haikutoka sana na badala yake kama vimiminika vya mafuta viliendelea kutoka.
sasa kimekuwa kikifunga ukioga tu kinafunguka na juzi kimeanza kutoa usaha. ukilala ukiamka kimekauka fresh ukioga tu kinarudi upya, kumekuwa pia na maumivu makali kama kinajivuta lakini kikishajivuta baadae kinapasuka na usaha unatoka kama rangi ya damu, watu wananiambia ndo kinaelekea kupona,
je eti kitapona kwa style hii? nitumie dawa gani au nifanye kitu gani?