ASALI DAWA YA VIDONDA
Tangu enzi na enzi, asali imekuwa ikitumiwa na mababu zetu kama chanzo cha nishati ya mwili, lakini pia katika utafiti wa hivi karibuni, imegundulika kuwa asali ina ewezo mkubwa sana wa kuponya vidonda vya aina mbalimbali kutokana na viambata vyake kuwa na uwezo wa kukausha maji haraka kwenye kidonda.
Aidha, virubisho vingine vilivyomo kwenye asali vina faida kubwa kwa wana michezo kwani huongeza nguvu na wana michezo wengi wamekuwa wakitumia vyakula vitokanavyo na asali au vyenye mchanganyiko wa asali na wameona mafanikio makubwa.
Pakaa Asali Safi ya nyuki kwenye kidonda chako kutwa mara 2 asubuhi na usiku tumia mpaka hicho kidonda kipone. Au Tumia hii Dawa unapoamka Asubuhi ukikojoa mkojo wako jipake kwenye kidonda kwa muda wa siku 21 utapona inshallah. Na jambo muhimu nenda hospitali kapime Damu na mkojo huenda una maradhi ya kisukari ndio maana ahicho kidonda huwa hakiponi pole sana. tumia unipe FeedBack P.h.D. MziziMkavu