Kidonge gani humezwa kabla ya kutumia dozi ya typhoid?

Kidonge gani humezwa kabla ya kutumia dozi ya typhoid?

Lotus 123

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2021
Posts
3,151
Reaction score
5,513
Kuna mtu alinieleza Ili dawa ya tayphoid ifanye kazi viziri Kuna kidonge kimoja unatumia kwanza ndipo uanze dose ndiyo dawa ifanye kazi sawa,naombeni kujuzwa kuhusu hili
 
Septrine huwa inaongeza nguvu kwa vidonge mbali mbali mfano 80s, tulimeza Septrine na chloroquine tuliokuwa na malaria sugu, baada ya hapo ni kuwashwa kwa aina ya kipekee kwa siku 3-4,baada ya hapo unakuwa umepona kabisa.
 
Kuna mtu alinieleza Ili dawa ya tayphoid ifanye kazi viziri Kuna kidonge kimoja unatumia kwanza ndipo uanze dose ndiyo dawa ifanye kazi sawa,naombeni kujuzwa kuhusu hili
Afya nenda kapime mkuu sio kubahatisha utatibu ugonjwa mwingine wakati unaumwa kitu tofauti unaongeza sumu mwilini huku haujatatua tatizo...
 
Ili dawa ya tayphoid ifanye kazi viziri Kuna kidonge kimoja unatumia kwanza
Ndugu, jaribu kutumia akili ya kawaida katika kufikiri usipende kushikiwa akili.Wewe kwa kutumia akili yako unahisi ukiumwa malaria utapewa dawa ya malaria tu bila dawa nyingine?

Malaria itaambatana na homa,kuumwa kichwa,kutapika n.k hali ambayo itakupelekea kupewa dawa nyingi.Linganisha ugonjwa wako kama utakosa dawa ya kupambana na bakteria, maumivu ya kichwa, homa n.k

Hujui kusoma? Ukipewa dawa jaribu kusoma jinsi inavyofanya kazi.Kwa uzoefu wangu dawa za kupambana na bakteria na maumivu huwa hazikosekani kwenye mlolongo mzima wa dawa za mgonjwa ingawa si mara zote!
 
Septrine huwa inaongeza nguvu kwa vidonge mbali mbali mfano 80s, tulimeza Septrine na chloroquine tuliokuwa na malaria sugu
Uleule ujinga wa kurithishana, vipi mpaka leo hujajua ulichokuwa unakimeza?

Dawa za kupambana na bakteria, homa,maumivu hizi huwa hazikosekani kwenye mlolongo mzima wa dawa kwa mgonjwa ingawaje si mara zote lakini mara nyingi huwa hivyo!

Septrin is a brand name for the antibiotic medicine co-trimoxazole
 
Uleule ujinga wa kurithishana, vipi mpaka leo hujajua ulichokuwa unakimeza?

Dawa za kupambana na bakteria, homa,maumivu hizi huwa hazikosekani kwenye mlolongo mzima wa dawa kwa mgonjwa ingawaje si mara zote lakini mara nyingi huwa hivyo!

Septrin is a brand name for the antibiotic medicine co-trimoxazole
No matter what?, Tulipewa combination ya chloroquine + septrine, over, na tulipona japo tuliwashwa kweli.
 
Back
Top Bottom