Pole sana, nahs na mm ningekuwa kwenye list ya hao 60 nilivyona aleji na vibamia!
wakaka wenye vibamia wana hasira wanaweza hata wakakunyonga hahahahhahuwiiiii
yaani alafu wakishaanza kufikisha 40 zaidi ile stmina ya ujana ikipotea basi wanavisasi balaaa wananuna nuna kama nini
mkuu wewe umepata nguvu ya kuandika hapa nadhani unaelekea kulisolve tatizo lako
Aweke picha ya nn sasa jamani? hata mi kitu cha ni kama soseji lkn namwandaa mdada na kuhakikisha amekuwa tayari ndio.naingia na anaridhika ukickia wanvyonigombea best huwezi amini maana kuna wengine wanakitu kama chupa ya soda lkn hakuna kitu
Ndugu, pole kwa tatizo lako la kisaikolojia.
Binafsi nnaamini kuwa hakuna mwanaume mwenye uume mdogo au mwanamke mwenye uke mkubwa.
Kila mtu ameumbwa na mtu wake, kila mtu anaye wa saizi yake, sasa utamtambuaje?
Kuna elimu ilikuwa inatolewa jandoni au kwa kuku saidia, angalia/ tafuta kitabu kinacho itwa "sexual reflexiology" kitakusaidia kujua ni yupi anakufaa.
Ukiona shida, kuna njia 3 ambazo unaweza kuzitumia ili kurefusha na kunenepesha uume wako bila kutumia madawa. Njia hizo ni;
1. Stretching.
2. Jelquing
3. Kegel exercise.
Maelekezo tafuta kwenye internet.
Kumbuka, kila mwanaume ana mwanamke wa saizi yake.
Pole sana, nahs na mm ningekuwa kwenye list ya hao 60 nilivyona aleji na vibamia!
Tafuta mvu tembo/dondora alie hai , halafu muweke kwenye kiboksi kidogo halafu weka mashine yako humo akikuuma tu toa kitu itakua tayar baada kma wik 1. inch3
Mkuu,kwa Stail H Anatibu Au Anabomoa Kabxa