Kiduku "Kim Jong Un" rais wa Korea Kaskazini umwambii kitu juu ya huyu Nigga, Mmarekani pekee mwenye free Visa ya Korea Kaskazini

Kama la Sir Makonda.
Ana zigo sana yule mpuuzi.
Zamani wakati wa utafutaji hajajipata hakua na wowowo alikua tako bapa. Sijui yamemsibu yapi mtoto wa kiume kua na zigo lote lile la kuvunja chaga. Zigo la kushawishi mabazazi.
Marehemu Sitta anakuzoom tu huko aliko!
 
Kim ni GAY tangu kitambo sana! Na Gayism North Korea ni kawaida mno kama ilivyo kwa Israel. Halafu mzungu ushoga kwake sio skendo hadi atengeneze kumzushia mtu.
 
Documentary zingine ni Scripted, zinawekewa story za kutunga au kumchafua mtu hili Documentary iuze... Hata kipindi cha MAGUFULI documentary za kumchafua zimeandikwa sana... Kama ni kweli alizungumza hayo, basi muda mwingine wanapangwa nini cha kusema...

Mzungu hata siku moja hawezi kuandika Documentary nzuri juu ya adui yake... Atafanya juu chini kumchafua hili dunia ione afai...
 
Kim ni GAY tangu kitambo sana! Na Gayism North Korea ni kawaida mno kama ilivyo kwa Israel. Halafu mzungu ushoga kwake sio skendo hadi atengeneze kumzushia mtu.
Nilichogundua Mtaalamu wangu Lusungo hauna taarifa za Korea Kaskazini wacha nikuache bhana....
 
Sijasema kuhusu Kim kuwa Gay, nimekanusha madai yako eti Gay hawezi kua na akili au msimamo thabiti juu ya maendeleo fulani.

Soma comment angu vizuri.
 
Mm nitakua wa mwisho kuamini kwamba Kim ni shoga. Halafu mtu unakaa unaamini documentary zilizoandaliwa na wamarekani na unajua fika wamarekani hawampendi jamaa.
Akili kubwa [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kim ni GAY tangu kitambo sana! Na Gayism North Korea ni kawaida mno kama ilivyo kwa Israel. Halafu mzungu ushoga kwake sio skendo hadi atengeneze kumzushia mtu.
Huo ni uongo bhanaaa
 
Copy and paste kuna mijitu mna akili finyu sana
 
Sijasema kuhusu Kim kuwa Gay, nimekanusha madai yako eti Gay hawezi kua na akili au msimamo thabiti juu ya maendeleo fulani.

Soma comment angu vizuri.
Tena wapo magay ubongo zao uko vzr tu kuanzia kielemu,kifedha nk

Ova
 
Bro.
Nchi hii ni ngumu na nadiriki kusema watu bado malimbukeni.

Ukionekana na dem wanajua mnakulana.
Ukiwaambia nina rafiki wa kike na hatushiriki mapenzi wanakuona wewe sio rijali.

Nchi ya mazuzu hii
 
Bro.
Nchi hii ni ngumu na nadiriki kusema watu bado malimbukeni.

Ukionekana na dem wanajua mnakulana.
Ukiwaambia nina rafiki wa kike na hatushiriki mapenzi wanakuona wewe sio rijali.

Nchi ya mazuzu hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…