Marehemu Sitta anakuzoom tu huko aliko!Kama la Sir Makonda.
Ana zigo sana yule mpuuzi.
Zamani wakati wa utafutaji hajajipata hakua na wowowo alikua tako bapa. Sijui yamemsibu yapi mtoto wa kiume kua na zigo lote lile la kuvunja chaga. Zigo la kushawishi mabazazi.
Kim ni GAY tangu kitambo sana! Na Gayism North Korea ni kawaida mno kama ilivyo kwa Israel. Halafu mzungu ushoga kwake sio skendo hadi atengeneze kumzushia mtu.Usidanganywe bhana kuhusu Kim amepewa kashfa zote wengine walishamzushia kafa...media za Magharibi zinafika mbali sana kaweka sheria ngumu kuhusu hao wahuni harafu yeye awe Gay mnafikiri vizuri kweli...watu anaowakubali ni Rodman na Tyson ambae yeye alihojiwa na kusema alitumia muda mwingi sana kuwaangalia akiwa mtoto...
Documentary zingine ni Scripted, zinawekewa story za kutunga au kumchafua mtu hili Documentary iuze... Hata kipindi cha MAGUFULI documentary za kumchafua zimeandikwa sana... Kama ni kweli alizungumza hayo, basi muda mwingine wanapangwa nini cha kusema...Achana na hii post ya wikipedia. Mimi nimeona documentary mwaka huu mwezi wa 9 nadhani. Humo yeye rodman mwenyewe kwa kimywa chake anamkandia kiduku na akaeleza ilikuwaje akaenda North Korea.
Documentary haihusu safari ya Rodman ila inahusu Kim Dynasty wanaanzia babu yake, baba yake hadi alivyomuua ndugu yake yule kwa sumu airport hadi kahojiwa mtoto wa huyo ndugu yake. Rodman pia kuna sehemu kahojiwa.
Ukimsikiliza utagundua hakwenda Korea kama rafiki wa Kim hata hilo bandiko uliloweka halikusema hivyo. Kama baadaye alikuja kumpa sifa basi ilikuwa baadaye baada ya kwenda Korea.
Kwenye hiyo documentary anamkandia.
Nilichogundua Mtaalamu wangu Lusungo hauna taarifa za Korea Kaskazini wacha nikuache bhana....Kim ni GAY tangu kitambo sana! Na Gayism North Korea ni kawaida mno kama ilivyo kwa Israel. Halafu mzungu ushoga kwake sio skendo hadi atengeneze kumzushia mtu.
Shoga passive au active?Jasusi wa CIA
Ila kashaacha ushoga.
Ukaribu wake na Kim nadhani wote watakua gay,s.
Coz everybody know jamaa ni shoga kitambo tu!!
Sijasema kuhusu Kim kuwa Gay, nimekanusha madai yako eti Gay hawezi kua na akili au msimamo thabiti juu ya maendeleo fulani.Usidanganywe bhana kuhusu Kim amepewa kashfa zote wengine walishamzushia kafa...media za Magharibi zinafika mbali sana kaweka sheria ngumu kuhusu hao wahuni harafu yeye awe Gay mnafikiri vizuri kweli...watu anaowakubali ni Rodman na Tyson ambae yeye alihojiwa na kusema alitumia muda mwingi sana kuwaangalia akiwa mtoto...
OK hoja ni kumhusu Kim nadhani...Sijasema kuhusu Kim kuwa Gay, nimekanusha madai yako eti Gay hawezi kua na akili au msimamo thabiti juu ya maendeleo fulani.
Soma comment angu vizuri.
[emoji1][emoji1] comments zinavurugaDuh! Hizi comments sijui hata tumuamini nani..
Akili kubwa [emoji122][emoji122][emoji122]Mm nitakua wa mwisho kuamini kwamba Kim ni shoga. Halafu mtu unakaa unaamini documentary zilizoandaliwa na wamarekani na unajua fika wamarekani hawampendi jamaa.
Huo ni uongo bhanaaaKim ni GAY tangu kitambo sana! Na Gayism North Korea ni kawaida mno kama ilivyo kwa Israel. Halafu mzungu ushoga kwake sio skendo hadi atengeneze kumzushia mtu.
Copy and paste kuna mijitu mna akili finyu sanaKutoka nchini Marekani, Dennis Rodman ndiye rafiki pekee wa Bwana Kiduku.
Yaani mchizi anaingia Korea Kaskazini muda wowote anaotaka, anakaa na rais na kupiga stori. Yaani mchizi ni mwanaye kishenzi na ndiye aliyempa jina mtoto wa kiduku.
Mchizi akiendaga Korea, anapokelewa vizuri, anakula bata na Kiduku na akimaliza anasepa zake. Tuliokuwa tunafuatilia basketball enzi za Michael Jordan na Chicago Bulls yake tunamjua. Hata kwenye muvi tuliona aliigiza na Van Damme muvi iitwayo Double Team.
Oyaaaa!!!
Tena wapo magay ubongo zao uko vzr tu kuanzia kielemu,kifedha nkSijasema kuhusu Kim kuwa Gay, nimekanusha madai yako eti Gay hawezi kua na akili au msimamo thabiti juu ya maendeleo fulani.
Soma comment angu vizuri.
Bora usemee wee,Tena wapo magay ubongo zao uko vzr tu kuanzia kielemu,kifedha nk
Ova
Kuhusu Kim siwezi sema chochote, sina uhakika hata hivyo sijui.OK hoja ni kumhusu Kim nadhani...
AhahahahUtakua Mwalimu wa msingi au sekondari, manake hao uwezo wao wa kufikiri unaishia mahali macho yanapoweza kuishia kuona.They can't think critically.
Bro.Why? Kim ni binadamu ambaye anaweza penda michezo kama tu mnavyompenda Messi au Ronaldo. So leo ukimhusudu Messi itakua ni sababu ya mpira au sexuality yake?
Mimi nina rafiki binti ila ni msagaji na tunapiga story na kushirikiana maisha yanandelea ila usagaji wake haunihusu maana hatukujuana sababu ya mapenzi au ngono.
Bro.Why? Kim ni binadamu ambaye anaweza penda michezo kama tu mnavyompenda Messi au Ronaldo. So leo ukimhusudu Messi itakua ni sababu ya mpira au sexuality yake?
Mimi nina rafiki binti ila ni msagaji na tunapiga story na kushirikiana maisha yanandelea ila usagaji wake haunihusu maana hatukujuana sababu ya mapenzi au ngono.
Korea kaskazini ni zaidi ya unayoisikia kwenye TV... ushoga kwa Kim ni kama fasheni tu...Nilichogundua Mtaalamu wangu Lusungo hauna taarifa za Korea Kaskazini wacha nikuache bhana....