Kiduku Lilo ni muongo namba 1

Gheto ukiwa na maana gani Demiss! Mwenyewe, kisela chumba chenye kila kitu au nyumbani kwa wazazi?
 
unawezaje kumfatilia mtu namna hiyo...hili suala sitalifumbia macho,,sisi watu wakubwa nchi hii,,,,ngoja kwanza ntaendelea baadae naona napigiwa na muheshimiwa rais
 
Kiduku lilo n mtu ambaye amechagua upande wake wa furaha Ss wenye stress tukizisoma Mada zake zinatupunguzia mawazo kiukwel umasikini mbaya sana na unadumaza uwezo wa kufikir pengine bwana LILO anatufundisha mbinu za kupambana ili nas tutoboe
 
unawezaje kumfatilia mtu namna hiyo...hili suala sitalifumbia macho,,sisi watu wakubwa nchi hii,,,,ngoja kwanza ntaendelea baadae naona napigiwa na muheshimiwa rais
Wewe mpemba unamtishia nani? J.f is where we dare to talk openly
 
Kiduku lilo akija mniite shabiki wake nipo apa kumsoma
 
Acheni kumzingua bosi wangu, nipo nae hapa Seychelles πŸ‡ΈπŸ‡¨ katika kikao 5 star hotel full kiyoyozi maji glass mmoja dola 3000$.
 
Kiduku Lilo ana pesa mbwa haruki, yeye dili za UN, EUROPE kalibia yote kachachafya,
Mi namuitaga Mr Passport,

kama Pitbull a.k.a Mr worldwide anavyosema katika get it started '

'Thriller in Manila, knocking them out like Pacquiao,
....................but for Now it's off to Malaysia
TWO PASSPORTS; THREE CITIES, TWO COUNTRIES, ONE DAY
Now thats worldwide, if you think it's a game, let's play, dale.

Jana alikua Instabull anachek game, akitoka anatua london kuchek ATP world tour 2019, then anaenda zake hong kong's- Singapole-Paris(most expensive cities in the world) then anatua futuhi ndio anawajibu wana jf,

hahahaaaaaa jf raha sanaaa,
Mm hapa jana kutwa nimepiga ndefu, jioni naenda kununua kambale wale wa mitaroni, nafika geto kumbe kachina, nimedibua zangu uji, asaiv naamka lile likambale limeachama na midevu yake na kichwa km cha bwana yule.
 


Hahahahahahhaahhaahhahahaahhaahaaa...ati unadibua ujiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..siwapend kambale dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…