Kiduku Lilo ni muongo namba 1

Kiduku Lilo ni muongo namba 1

monta

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2014
Posts
1,271
Reaction score
1,803
Wakuu huyu bwana wa kujiita kiduku lilo ni muongo namba moja humu JF Yeye kila siku anaenda ulaya,anamiliki Range R, BMW, Ford etc but kiukweli ni maskini wa kutupwa,hizi ni baadhi ya thread zake za zamani zikionesha rangi yake nje ya keyboard za JF

 
Hahahaha wote tu ni waongo jaman usiamini kila kitu narefer Uzi wa jinsi ulivyoanza kuishi getho nimeona asilimia 79 ya wanaume wa jf wanaishi getho ila huwa wanasema wana magari na majumba wameoa ni balaaa ila tutafanyaje wanayonge tunabaki tunabwabwaja tu.
 
Hahahaha wote tu ni waongo jaman usiamini kila kitu narefer Uzi wa jinsi ulivyoanza kuishi getho nimeona asilimia 79 ya wanaume wa jf wanaishi getho ila huwa wanasema wana magari na majumba wameoa ni balaaa ila tutafanyaje wanayonge tunabaki tunabwabwaja tu.
Huyu bwana amezidi
 
Mzee baba humu ndani kuna siri nying sana let's story za kwnda ngambo
Kula mtu huku jf utaskia alishaishi mbele wakat huo huo atakuja na kauzi kengine anaomba msaada jinsi ya utaratibu wa kufuata ili kupata passport na fees zake hahahaha
 
 
 
Hahahaha wote tu ni waongo jaman usiamini kila kitu narefer Uzi wa jinsi ulivyoanza kuishi getho nimeona asilimia 79 ya wanaume wa jf wanaishi getho ila huwa wanasema wana magari na majumba wameoa ni balaaa ila tutafanyaje wanayonge tunabaki tunabwabwaja tu.
Fanya kuja upate mkono wa idd kwenye hekalu langu la ununio bibie
 
Hahahaha nimecheka
Mzee baba humu ndani kuna siri nying sana let's story za kwnda ngambo
Kula mtu huku jf utaskia alishaishi mbele wakat huo huo atakuja na kauzi kengine anaomba msaada jinsi ya utaratibu wa kufuata ili kupata passport na fees zake hahahaha
 
Mi bwana mdogo uwa ananifurahisha tu kuona awezi kuwa masikini mtaani na jf awe masikini!!!! Yeye akaamua huku kuwa bhakresa fresh tu anapunguza ctress za maisha yanasonga kasha kula miogo yake na maji anakuja kupasua watu vichwa humu.
 
Mi bwana mdogo uwa ananifurahisha tu kuona awezi kuwa masikini mtaani na jf awe masikini!!!! Yeye akaamua huku kuwa bhakresa fresh tu anapunguza ctress za maisha yanasonga kasha kula miogo yake na maji anakuja kupasua watu vichwa humu.
Comment kama hizi zinaongeza maisha ya furaha duniani.
 
Mi bwana mdogo uwa ananifurahisha tu kuona awezi kuwa masikini mtaani na jf awe masikini!!!! Yeye akaamua huku kuwa bhakresa fresh tu anapunguza ctress za maisha yanasonga kasha kula miogo yake na maji anakuja kupasua watu vichwa humu.
Hahahahah mkuu huyu bwana dp mna mhusiano yoyote?
 
Back
Top Bottom