Kiduku Lilo ni muongo namba 1

Kiduku Lilo ni muongo namba 1

Wakuu huyu bwana wa kujiita kiduku lilo ni muongo namba moja humu JF Yeye kila siku anaenda ulaya,anamiliki Range R, BMW, Ford etc but kiukweli ni maskini wa kutupwa.hizi ni baadhi ya thread zake za zamani zikionesha rangi yake nje ya keyboard za JF
Asikuchengue yule ni mtu ambaye ndoto anazoziota anazileta jf sometimes watu hufanya hivyo ili kutafuta attention au kuipa nafsi yao amani kwa kuidanganya maana kiuhalisia haiwezi kuwa
 
Leo katoa kubwa kuliko
 
Back
Top Bottom