Kiduku ni mkweli na muungwana. Ni asili ya watu wa Morogoro?

Kiduku ni mkweli na muungwana. Ni asili ya watu wa Morogoro?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Jana, pale Mwanza bondia mtanzania Kiduku alipanda ulingoni kwa pambano la raundi 12 la ubingwa wa WBF. Alipambana na bondia Wellem wa Afrika ya Kusini.

Wellem, akitumia jab yake ya kushoto na urefu wake, alifanikiwa kumweka mbali Kiduku na kuvuna points za kutosha kumpatia ushindi wa jana. Wellem alikuwa mjanja katika kukwepa kukaribiana au kubananishwa kwenye kona na Kiduku.

Majaji wote watatu wakampa ushindi Wellem. Ushindi wa points nyingi kuliko alizopata Kiduku. Wellem, pamoja na kumpongeza Kiduku kwa kumpa pambano lenye changamoto, alijivunia kutojulikana kwake mtandaoni (kutokuwepo mapambano yake youtube).

Kimichezo, kiungwana na katika ukweli, Kiduku alisema kuwa Wellem ni bondia mzuri na yuko vizuri. Akasema amejifunza mengi kutoka kwa Wellem na anatarajia kupitia makocha wake atayafanyia kazi makosa yake ili kuwafurahisha watanzania wakati ujao.

Uungwana na ukweli ni asili ya watu wa Morogoro? Maana na Mandonga naye ni wa hukohuko😂😂
 
Jana, pale Mwanza bondia mtanzania Kiduku alipanda ulingoni kwa pambano la raundi 12 la ubingwa wa WBF. Alipambana na bondia Wellem wa Afrika ya Kusini.

Wellem, akitumia jab yake ya kushoto na urefu wake, alifanikiwa kumweka mbali Kiduku na kuvuna points za kutosha kumpatia ushindi wa jana. Wellem alikuwa mjanja katika kukwepa kukaribiana au kubananishwa kwenye kona na Kiduku.

Majaji wote watatu wakampa ushindi Wellem. Ushindi wa points nyingi kuliko alizopata Kiduku. Wellem, pamoja na kumpongeza Kiduku kwa kumpa pambano lenye changamoto, alijivunia kutojulikana kwake mtandaoni (kutokuwepo mapambano yake youtube).

Kimichezo, kiungwana na katika ukweli, Kiduku alisema kuwa Wellem ni bondia mzuri na yuko vizuri. Akasema amejifunza mengi kutoka kwa Wellem na anatarajia kupitia makocha wake atayafanyia kazi makosa yake ili kuwafurahisha watanzania wakati ujao.

Uungwana na ukweli ni asili ya watu wa Morogoro? Maana na Mandonga naye ni wa hukohuko😂😂
Mandonga vipi jana?
 
Jana, pale Mwanza bondia mtanzania Kiduku alipanda ulingoni kwa pambano la raundi 12 la ubingwa wa WBF. Alipambana na bondia Wellem wa Afrika ya Kusini.

Wellem, akitumia jab yake ya kushoto na urefu wake, alifanikiwa kumweka mbali Kiduku na kuvuna points za kutosha kumpatia ushindi wa jana. Wellem alikuwa mjanja katika kukwepa kukaribiana au kubananishwa kwenye kona na Kiduku.

Majaji wote watatu wakampa ushindi Wellem. Ushindi wa points nyingi kuliko alizopata Kiduku. Wellem, pamoja na kumpongeza Kiduku kwa kumpa pambano lenye changamoto, alijivunia kutojulikana kwake mtandaoni (kutokuwepo mapambano yake youtube).

Kimichezo, kiungwana na katika ukweli, Kiduku alisema kuwa Wellem ni bondia mzuri na yuko vizuri. Akasema amejifunza mengi kutoka kwa Wellem na anatarajia kupitia makocha wake atayafanyia kazi makosa yake ili kuwafurahisha watanzania wakati ujao.

Uungwana na ukweli ni asili ya watu wa Morogoro? Maana na Mandonga naye ni wa hukohuko[emoji23][emoji23]
Akasema amejifunza mengi kutoka kwa Wellem na anatarajia kupitia makocha wake atayafanyia kazi makosa yake ili kuwafurahisha watanzania wakati ujao.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wellem ni mkali sana he fights with focus, target, purpose, relaxed, technique yuko vizuri, The myweather type. [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Ile jab ya Wellem imenikumbusha pambano la Lenox Lewis na Mike Tyson. Lewis alimkaanga Tyson kwa jab. The jab gives distance, it explores the opponent, it makes the opponent busy muda wote na zaidi inalipa point. Hata hivyo majaji walikuwa fair sana kwa kiduku. Zile points alizo score sikuziona ktk ring. Halafu kiduku anapigana vizuri ila hana mbinu mbadala zaidi ya kumuweka opponent wake ktk Kona tuu Sasa atawapiga wa ndani lakini siyo kama yule jamaa.
 
Jana, pale Mwanza bondia mtanzania Kiduku alipanda ulingoni kwa pambano la raundi 12 la ubingwa wa WBF. Alipambana na bondia Wellem wa Afrika ya Kusini.

Wellem, akitumia jab yake ya kushoto na urefu wake, alifanikiwa kumweka mbali Kiduku na kuvuna points za kutosha kumpatia ushindi wa jana. Wellem alikuwa mjanja katika kukwepa kukaribiana au kubananishwa kwenye kona na Kiduku.

Majaji wote watatu wakampa ushindi Wellem. Ushindi wa points nyingi kuliko alizopata Kiduku. Wellem, pamoja na kumpongeza Kiduku kwa kumpa pambano lenye changamoto, alijivunia kutojulikana kwake mtandaoni (kutokuwepo mapambano yake youtube).

Kimichezo, kiungwana na katika ukweli, Kiduku alisema kuwa Wellem ni bondia mzuri na yuko vizuri. Akasema amejifunza mengi kutoka kwa Wellem na anatarajia kupitia makocha wake atayafanyia kazi makosa yake ili kuwafurahisha watanzania wakati ujao.

Uungwana na ukweli ni asili ya watu wa Morogoro? Maana na Mandonga naye ni wa hukohuko[emoji23][emoji23]
Lijualikali anatokea mkoa gani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Wellem ni mkali sana he fights with focus, target, purpose, relaxed, technique yuko vizuri, The myweather type. [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
Kama angekuwa na uwezo wa kumaliza pambano kwa KO nilikuwa kama namuona Lenox lewis,akiwa na jab zenye power zaidi atakuwa mzuri
 
Back
Top Bottom