Kiduku ni mkweli na muungwana. Ni asili ya watu wa Morogoro?

ukishakuwa na pesa za haki tabia za uungwana huwa karibu yako, ila ukipata zile pesa za mang'amung'amu amini nakwambia utakuwa mchungu kama piriton
 
Katika mabondia nilikua siwaelewi ni Lenox lewis,yaani anatumia Kono lake refu kumzuwia na kudokoa uso wa adui apate point
 
Mimi huwa nafikiria Kigoma ni mambo ya music Morogoro ndondi na Kilimanjaro biashara.

Ukioanisha watu walio kwenye hizo industry hapo utagundua hiyo mikoa ndiyo inayoongoza kwa vipaji hivyo.
Umesahau: pwani ngoma; kagera katerero; Tanga mahaba, rukwa uchawi, iringa na njombe ukimwi, Arusha bangi; mbeya ubonge nyanya, singida chini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…