Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu
Nimewasikia Kiemba na Shafih leo kwenye kipindi cha Sport Extra.
Asee Shafih ni mweupe kabisa kwa Kiemba.
Yani kuna muda Shafih alikua anatoa sababu za Namungo kufanya vibaya, Kiemba alikuja akachana chana kabisa kile alichokua ameongea Shafih,nadhan ata yeye aligundua kaongea utopolo kabisa.
Eti Namungo haifanyi vizuri sababu Kiongozi mkuu wa team yuko busy na siasa[emoji23]
Nimewasikia Kiemba na Shafih leo kwenye kipindi cha Sport Extra.
Asee Shafih ni mweupe kabisa kwa Kiemba.
Yani kuna muda Shafih alikua anatoa sababu za Namungo kufanya vibaya, Kiemba alikuja akachana chana kabisa kile alichokua ameongea Shafih,nadhan ata yeye aligundua kaongea utopolo kabisa.
Eti Namungo haifanyi vizuri sababu Kiongozi mkuu wa team yuko busy na siasa[emoji23]