Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
sawa kiemba tumekusikiaHabari wakuu
Nimewasikia Kiemba na Shafii leo kwenye kipindi cha Sport Extra
Asee Shafii ni mweupe kabisa kwa Kiemba.
yani kuna muda shafii alikua anatoa sababu za Namungo kufanya vibaya, Kiemba alikuja akachana chana kabisa kile alichokua ameongea shafii
Kacheza ndondo cup enzi za kinesi na lucky rangersUkishakuwa mchezaji mkubwa huwezi fananishwa na walioishia Umitashumta. Shaffih anajua mpira wa Google hajaucheza professionally.
Full stop.
Kiemba hajui kuongea vizuri alafu hajui kuchambua mpira kiundani yeye anachojua Ni kuongea ukweli tu Sio tofauti na hapo mchambuzi wa mpira hapa bongo ambaye anajua kuchambua mpira mpaka mwenyewe unafurahi na kuongezea kitu kichwani Ni GEORGE AMBANGILE tu
Kabisa kaka eti anadai Namungo haifanyi vizuri sababu kiongozi wao yuko busy na mambo mengine ya kisiasaUkishakuwa mchezaji mkubwa huwezi fananishwa na walioishia Umitashumta. Shaffih anajua mpira wa Google hajaucheza professionally.
Full stop.
Kwani ili uwe mchambuzi kamili vitu gani vya kuzingatiwa?Kiemba hajui kuongea vizuri alafu hajui kuchambua mpira kiundani yeye anachojua Ni kuongea ukweli tu Sio tofauti na hapo mchambuzi wa mpira hapa bongo ambaye anajua kuchambua mpira mpaka mwenyewe unafurahi na kuongezea kitu kichwani Ni GEORGE AMBANGILE tu
Nakuunga mkono,na bora mwngine Adam Ambangile wa Abood Fm MoroKiemba hajui kuongea vizuri alafu hajui kuchambua mpira kiundani yeye anachojua Ni kuongea ukweli tu Sio tofauti na hapo mchambuzi wa mpira hapa bongo ambaye anajua kuchambua mpira mpaka mwenyewe unafurahi na kuongezea kitu kichwani Ni GEORGE AMBANGILE tu
Hapa kwa ambangile umenikosha haswaaa!!!Kiemba hajui kuongea vizuri alafu hajui kuchambua mpira kiundani yeye anachojua Ni kuongea ukweli tu Sio tofauti na hapo mchambuzi wa mpira hapa bongo ambaye anajua kuchambua mpira mpaka mwenyewe unafurahi na kuongezea kitu kichwani Ni GEORGE AMBANGILE tu
simba mbovu ya mwaka 99 au 2001 (kati ha hiyo miaka 2 kulikuwa na simba ya hovyoo kabisaa)shafiii alikuwepo walikuwa wanamuita giggs alikuwa kembamba nafkiri alicheza mechi moja tu aka concentrate na masomo ifmKacheza ndondo cup enzi za kinesi na lucky rangers
Jang-Bogo mzee kwani una chuki naye?Hapa kwa ambangile umenikosha haswaaa!!!
Kasoro mambo mambo yako ya diamond.😁
Kabisa kakaHao Kina Shafi Dauda au Edo Kumwembe wanajua kuchambua siasa za mpira na kufanya uwakala wa wachezaji...lakini siyo kuchambua mpira kwenye pitch wanaachwa mbali sana.