Kiemba: Wakati nipo simba mganga wa derby alikua Nakisha

Kiemba: Wakati nipo simba mganga wa derby alikua Nakisha

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
“Miaka ya nyuma siku kama ya leo kwa upande wetu sisi Simba usingizi unakuwa wa tofauti na muda mwingine mnaweza msilale kwa sababu mganga wa mwisho alikuwa anaondoka saa 9 usiku”-Amri Kiemba
IMG_2832.jpeg
 
Kiemba anaongeza followers huko insta......
 
Back
Top Bottom