Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 892
- 683
Wadau habarini za asubuhi..naomba niende kwenye mada husika hapo juu..nina mdogo wang alikuwa mzima kabisa utotoni lakin kwa sasa hasikii baada ya kupima muhimbili wakatwambia kuwa hawezi kusikia tena ina bidi anunuliwe kifaa man ni mwanafunzi..kifaa chenyewe tumeenda kuuliza nauzwa milioni moja n la laki sita kwa vyote na kimoja sh..850000..naomba kupata msaada kama kuna namna yoyte ya kupata kifaa hicho kwa garama nafuu napenda nipate na ushauli katika hili jamani na mwanafunzi anajitaidi sna darasani na ni wa kike..japo nimesikia kifaa hicho kina kelele sna tunaweza kukipata na bado asikivae kwa kelele zake..naomba msaada wa mawazo katika hili kwa mwenye maarifa zaidi...ahsanten