Kifaa chochote kitachoweza kutunza chaji ya laptop kwa masaa 24

Kifaa chochote kitachoweza kutunza chaji ya laptop kwa masaa 24

Chuku chuku

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
873
Reaction score
1,360
Naomba kujua ni kifaa gani kama ni betri au ups ambacho kinaweza kunisaidia kutumia laptop yangu kwa muda wa saa 24 pale umeme unapokuwa umekatika, kitu kama ups ila kiwe na uwezo huo wa kukaa saa 24.
 
Solar
Generator
Battery zingine za Laptop yako

nunua mabattery ya laptop yako kwa kadri uwezavyo na utakavyo,Battery jipya linaweza kaa 3hrs,ili uwe na uhakika 24 hrs unahitaji uwe na mabattery 8..

unaweza ukafunga macho ukaingia dukani wanapouza battery za laptop kwa bei ya jumla then chukua battery zako 10 kwa hasira😛 utazipata kwa bei nzuri kwasababu utanunua kama mfanyabiashara,Basi ukishanunua mabunduki yako 10.

unayapanga chini ya meza kazi ni 1 tu,kazi kazi ukiona notification kwa chini battery remains 10% unazima pc unachomeka dude jipya unawasha mzigo kazi kazi mwendo ni huo huo mzeee.😂

Hiyo ndio njia pekee ya uhakika isiyo na cost sana,ila kama mpunga upo Chukua solar au generator.
 
Naomba kujua ni kifaa gani kama ni betri au ups ambacho kinaweza kunisaidia kutumia laptop yangu kwa muda wa saa 24 pale umeme unapokuwa umekatika, kitu kama ups ila kiwe na uwezo huo wa kukaa saa 24.
1. zipo laptop zinazokaaa na chaji masaa 24, sema inategemea na matumizi
2. zipo powerbanks za laptop ambazo zinazidi hadi 100wh unaweza tumia siku nzima kwa hivi vilaptop vya 15w.
 
Simu za siku hizi (smart) sema ndio wamefanya battery lisitoke ila njia yangu ni ile ile kununua battery za kutosha za simu husika,Nina ki nokia tochi changu hapa Nikiingiaga chimbo porini huko nachukua ma battery yangu yasiopungua idadi ya siku ntakazokua huko,mzeee ukinikosa hewani mimi labda nmebadilisha laini au nipo sehemu hamna mtandao ila sijuagi shda ya chaji aseee😂😂
 
1. zipo laptop zinazokaaa na chaji masaa 24, sema inategemea na matumizi
2. zipo powerbanks za laptop ambazo zinazidi hadi 100wh unaweza tumia siku nzima kwa hivi vilaptop vya 15w.

hizi power bank hivi unaweza itumia kuchajia simu mkuu au

inakua haiwezekani kwasababu ya output ya umeme unaotoka hapo?
 
hizi power bank hivi unaweza itumia kuchajia simu mkuu au

inakua haiwezekani kwasababu ya output ya umeme unaotoka hapo?
zipo zinazochaji simu na laptop pamoja, nyengine zinakupa kabisa switch unachomeka tu chaja yako

mfano kama hii ya Anker
mcVH6LdHHb.png

ina Ac hapo ya kuchomekea plug ya kawaida na pia ina usb kuchaji vitu kama simu.
 
zipo zinazochaji simu na laptop pamoja, nyengine zinakupa kabisa switch unachomeka tu chaja yako

mfano kama hii ya Anker
mcVH6LdHHb.png

ina Ac hapo ya kuchomekea plug ya kawaida na pia ina usb kuchaji vitu kama simu.
hizi battery zake huwa zinakua na MAH ngapi? na kwa simu ya Mah 3500

hii power bank ina uwezo wakuichaji hii simu mara ngapi hadi yenyewe kuisha?

sio kubwa sana za kufanya ikawa nzito ukashndwa move nayo from place to place?
 
hizi battery zake huwa zinakua na MAH ngapi? na kwa simu ya Mah 3500

hii power bank ina uwezo wakuichaji hii simu mara ngapi hadi yenyewe kuisha?

sio kubwa sana za kufanya ikawa nzito ukashndwa move nayo from place to place?
Hio nilioweka ni kubwa na zipo zenye uwezo wa kuchaji hadi mara 30 ama zaidi.

Sema zipo pia portable,

Na kama ni matumizi ya simu tu usinunue power bank za simu? Zipo za hadi 20,000 mah ambazo ni portable unaiweka tu mfukoni
 
Hio nilioweka ni kubwa na zipo zenye uwezo wa kuchaji hadi mara 30 ama zaidi.

Sema zipo pia portable,

Na kama ni matumizi ya simu tu usinunue power bank za simu? Zipo za hadi 20,000 mah ambazo ni portable unaiweka tu mfukoni
za simu naweza ingia nayo shamba nikakaa wiki nzima

sehemu isiyo na umeme kbs na nisikose chaji chief?
 
Hapo ni kuwa na power buckup, tafuta battery mbili za 200Ah na inverter charger ya kuanzia watts 500

Kazi kwisha, hapo hata masaa 48
 
za simu naweza ingia nayo shamba nikakaa wiki nzima

sehemu isiyo na umeme kbs na nisikose chaji chief?
Sijajua matumizi makuu, ila 3500mah inamaana unachaji kama mara 5 hivi. Pia itategemea na ukaaji chaji wa simu ya sasa.

Kwa simu isio flagship pengine unaweza toboa.
 
Sijajua matumizi makuu, ila 3500mah inamaana unachaji kama mara 5 hivi. Pia itategemea na ukaaji chaji wa simu ya sasa.

Kwa simu isio flagship pengine unaweza toboa.
Matumizi makuu ni voice call tu hamna kingine mkuu
 
kwa UPS sio feasible,

UPS mathalan za APC, ukichukua ya 1000VA (800W) itachukua masaa yasiyozidi matatu kwa laptop, kabla umeme wake kukata ( UPS ina betri ndani)

laptop nyingi ni around 60-70W

mzee baba hapo ni jenereta ndio mkombozi
Nashukuru kwa msaada wako!
 
Back
Top Bottom