Kifaa gani kinamisi

HAKUNAGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
301
Reaction score
72
Wakuu naomba kujua ni kifaa gani kinamisi hapo katika eneo la mbele chini la hiyo gari kwa mujibu wa hiyo picha inayoonekana
 
Huo ni msumari ambao unakua na bush unafunga hapo kwenye stabliza sasa hapo huo msumari unaonekana umekatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…