H HAKUNAGA JF-Expert Member Joined Jan 3, 2012 Posts 301 Reaction score 72 Feb 10, 2018 #1 Wakuu naomba kujua ni kifaa gani kinamisi hapo katika eneo la mbele chini la hiyo gari kwa mujibu wa hiyo picha inayoonekana
Wakuu naomba kujua ni kifaa gani kinamisi hapo katika eneo la mbele chini la hiyo gari kwa mujibu wa hiyo picha inayoonekana
M mselambaya Senior Member Joined Jan 10, 2017 Posts 106 Reaction score 77 Feb 13, 2018 #2 Huo ni msumari ambao unakua na bush unafunga hapo kwenye stabliza sasa hapo huo msumari unaonekana umekatika
Huo ni msumari ambao unakua na bush unafunga hapo kwenye stabliza sasa hapo huo msumari unaonekana umekatika