msimamia kucha
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 683
- 551
Mkuu shukrani, ni kweli engine ni vvti sasa chuma haiwaki ilipigwa maji sana kuna fundi niliongea nae akadai itakuwa hiyo distributor.Injini za vvt i hazina hicho kifaa
Mkuu shukrani, nimeitafuta sijakaona sasa sijui gari hizi za engine hii hazipo? engine ni vvti sasa chuma haiwaki ilipigwa maji sana kuna fundi niliongea nae akadai itakuwa hiyo distributor.Angalia ka chombo kako ivii ... isijekuwa mvua zilizonyesha ama vijana walioosha gari maji yakaingiamoo
View attachment 2432231
Yaani unaulizia Distributor kwenye 1NZ~FE?Wakuu habari za Asubuhi. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, naombeni kujuzwa na kuonyeshwa mahala hicho kifaa kilipo kwenye engine ya Gari a in a ya Spacio New Model Kama nilivyoambatanisha na picha ya engine maana mimi si mjuzi wa nagari.
Nawasilisha.
View attachment 2432142
Engine za stone age ndio zina hii kitu, manufacturers walishaachana nayo siku nyingi.Angalia ka chombo kako ivii ... isijekuwa mvua zilizonyesha ama vijana walioosha gari maji yakaingiamoo
View attachment 2432231
imebidi nichekeeeeKama upo kijijini halafu fundi wako ndio amekupa habari za distributor, anza kukimbia kabla halijakukuta jambo.
Unaosha engine ya petrol na maji ili ugundue nini mkuu?....Mkuu shukrani, ni kweli engine ni vvti sasa chuma haiwaki ilipigwa maji sana kuna fundi niliongea nae akadai itakuwa hiyo distributor.
Shukrani mkuu ndo mana nimekimbia kuja kupata maoni kabla sijafanya chochote.Yaani unaulizia Distributor kwenye 1NZ~FE?
Distributor nyingi zimeishia kwenye gari za early 90's.
Late 90's ikaja Wasted spark, yaani mfano unakuwa na ignition coils mbili ambapo kila coil moja inafeed cylinder mbili.
Early 2000 ndio zikaja hizi DIS kama hiyo yako. Distributorless Ignition System. Yaani kila cylinder inakuwa na coil yake.
Kama upo kijijini halafu fundi wako ndio amekupa habari za distributor, anza kukimbia kabla halijakukuta jambo.
Shukrani mkuu.Unaosha engine ya petrol na maji ili ugundue nini mkuu?....
Hapo matatizo mmeyachokonoa wenyewe.
Connectors za umeme ni nyingi kwenye hiyo engine sijui maji yayakuwa yameingia wapi. Anzeni kuchomoa connector moja moja muangalie.
Kwahiyo mkuu, ishu itakuwa hizo connector kwa maana ni kuzichomoa Ku check kama zimeingia maji zikauke au zisafishwe.Unaosha engine ya petrol na maji ili ugundue nini mkuu?....
Hapo matatizo mmeyachokonoa wenyewe.
Connectors za umeme ni nyingi kwenye hiyo engine sijui maji yayakuwa yameingia wapi. Anzeni kuchomoa connector moja moja muangalie.
zikaukeKwahiyo mkuu, ishu itakuwa hizo connector kwa maana ni kuzichomoa Ku check kama zimeingia maji zikauke au zisafishwe.
Amenikumbusha injini ya 1S-U iko kwenye mark II GR. ina Distributor, enzi hizo sisi tunaita BIUSUBITADistributor iko kwenye generation ya nyuma ya hio engine yani A series engines. 4A, 5A, 7A!
Zilipoanza Z series wakahamia vvti wameachanaga na hizo mambo za distributors. 1NZ, 2NZ, 1ZZ, 2ZZ, 1AZ, 2AZ nk. Humu kuna coils tu hamna distributors.
Majuzi hapa nilifanya kuosha gari kwa maji ya presha, kumbe baadhi yakaingia kwenye kompyuta ya power sterling, gari ina PS ya umeme, hayakukaushwa mapema yakawasha taa ya P/S kompyuta ikawa imekufa na sterling ikawa ngumu balaa, unatumia nguvu mno kulikatisha kona. Tulipoenda kusoma kwa DIAGNOSIS MACHINE, tukaja kugundua kuwa shida ni ECU ya P/S. Nachotaka kusema ni kuwa, maji kwenye engine ni hatari sana kwa gari hizi za umeme, kabla hujaanza kupangua vitu, tafuta mashine isome tatizo la gari lako ili utibu kitu sahihi.Kwahiyo mkuu, ishu itakuwa hizo connector kwa maana ni kuzichomoa Ku check kama zimeingia maji zikauke au zisafishwe.
Shukran mkuuMajuzi hapa nilifanya kuosha gari kwa maji ya presha, kumbe baadhi yakaingia kwenye kompyuta ya power sterling, gari ina PS ya umeme, hayakukaushwa mapema yakawasha taa ya P/S kompyuta ikawa imekufa na sterling ikawa ngumu balaa, unatumia nguvu mno kulikatisha kona. Tulipoenda kusoma kwa DIAGNOSIS MACHINE, tukaja kugundua kuwa shida ni ECU ya P/S. Nachotaka kusema ni kuwa, maji kwenye engine ni hatari sana kwa gari hizi za umeme, kabla hujaanza kupangua vitu, tafuta mashine isome tatizo la gari lako ili utibu kitu sahihi.
Next time unapoosha engine hakikisha gari ipo idle yaani inaunguruma na engine ni ya moto ili kukausha maji jwa haraka sana.Kwahiyo mkuu, ishu itakuwa hizo connector kwa maana ni kuzichomoa Ku check kama zimeingia maji zikauke au zisafishwe.