Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba hua Ni mzigo mkuu,sielewi hata hua wanataka engine ing'ae ili iweje sasa.Unaosha engine ya petrol na maji ili ugundue nini mkuu?....
Hapo matatizo mmeyachokonoa wenyewe.
Connectors za umeme ni nyingi kwenye hiyo engine sijui maji yayakuwa yameingia wapi. Anzeni kuchomoa connector moja moja muangalie.
Kuosha engine Ni ujinga arifu, Hakuna Gari ambayo imeshawahi kupata matatizo kisa engine yake haijaoshwa lkn Kuna Gari nyingi sana zimeharibika sababu ya engine imeoshwa na maji.Next time unapoosha engine hakikisha gari ipo idle yaani inaunguruma na engine ni ya moto ili kukausha maji jwa haraka sana.
Kuna fluid yake inapuliziwa na ile mashine ya kuoshea gari ipo kama povu hivi ikishapita kila sehemu engine inatakata bila hata kusuguliwa inangaa kama mpya.Kuosha engine Ni ujinga arifu, Hakuna Gari ambayo imeshawahi kupata matatizo kisa engine yake haijaoshwa lkn Kuna Gari nyingi sana zimeharibika sababu ya engine imeoshwa na maji.
Na walijua hataipata,sawa na mganga anayekutuma Jasho la mende,kama huwezi kulipata unampa yeye hela akakuletee,hata hujui likojeDaah mafundi bhana wamekwambia tafuta distributor...
Daah mafundi bhana wamekwambia tafuta distributor...
Ishu ya kukausha tuu Engine iliyooshwa wahuni wanataka Maelfu hapo hapo kwani angeikausha si angepata chake kutokana na kazi ilivyo ndio maana life inakua ngumu kwa sababu ya watu kutokua waaminifu..Hapo ukute ni mdada hataki shida
Anakuuliza tu Kwani inauzwaga sh ngapi[emoji28][emoji28][emoji28]
Fundi Maiko atakuharibia gari!Mkuu shukrani, ni kweli engine ni vvti sasa chuma haiwaki ilipigwa maji sana kuna fundi niliongea nae akadai itakuwa hiyo distributor.