proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
kwa kweli we ni alovera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No one should be condemned unheard.Hongera Polisi Tanzania
Ukweli umewaweka huru na hiyo ndio inayotakiwa,
Yule jamaa wa sakata la mauaji ya albino ni kweli ni padre wa kanisa katoliki,
Picha za upadrisho wake, na baadhi ya picha akiongoza misa takatifu zinafuata hivi punde,
ziko wapi picha bajeti bajeti bajeti bila sahau sukari sukari sukariHongera Polisi Tanzania
Ukweli umewaweka huru na hiyo ndio inayotakiwa,
Yule jamaa wa sakata la mauaji ya albino ni kweli ni padre wa kanisa katoliki,
Picha za upadrisho wake, na baadhi ya picha akiongoza misa takatifu zinafuata hivi punde,
Kuhusu Lisu jeshi la polisi Bado linaendelea na uchunguziya Lisu vipi?
all in all kwa hili la mtoto asimwe, nakupongeza
Aaaaaah! Basi kazi ipo!Journalism haitaji utafiti mkuu- unaambiwa unaandika ulichambiwa 5W1H
Muuaji halisi ni mumeo na baba yakoTaarifa ya polisi ina walakini na inatia mashaka. Yawezekana wauaji halisi sio hao waliokamatwa .
Inasikitisha kuona watu ambao mnaamini watu..Hili neno Paroko hapo sidhani kama lina ukweli na Ukatoliki tena nasema haiwezekani!
Angekuwa ni shehe kahusika sasa hivi mngekuwa mnalalama humu kuwa waislamu wanaonewa.Naqaza ingekuwa japo majina tu ya Waislam ndiyo wametajwa kuhusika.
Nasema majina tu, kwa sababu naamini Muislam mwenye kuufata Uislam hawezi kufanya huo ujinga hata kidogo.
JF ingekuwa hapatoshi.
Asante kwa picha, naendelea kumwangalia hadi macho yakose nguvu.View attachment 3021869
Paroko ndo huyo japo mnatamani asiwe yeye kwavile hii kashfa italichafua kanisa lakini ukweli ni kuwa jamaa ni mtuhumiwa tusubiri mahakama iamue
Umeongea point ya maana.Angekuwa ni shehe kahusika sasa hivi mngekuwa mnalalama humu kuwa waislamu wanaonewa.
Uislamu unapigwa vita, na janja janja nyingi ili kufanya tukio lionekane km limefanyika kwa kuuonea uislamu na sio mauaji ya mtoto albino.
Ni muda sasa wakujifunza kwa ndg zenu wakristo upole na hekima na kuacha mamlaka zifanye kazi zake.
Wengine kuliwa viboga ndiyo starehe yao,sasa huoni kua badala ya kumpa mtu azabu,wwe utakua unampa mtu huyo starehe yake!!Mimi naona waliwe viboga hadharani,huku luninga ya Taifa ikiwa inarusha mubashara!
🤣Wengine kuliwa viboga ndiyo starehe yao,sasa huoni kua badala ya kumpa mtu azabu,wwe utakua unampa mtu huyo starehe yake!!
Tulishawahi kukulawiti?.Hawa walawiti wamehamia kwenye mauaji sasa