Kifo cha Benard Membe is a waking alert

Haiko hivyo
 
Mwenye masikio na asikie.

Tanzania inahitaji kupumua dhidi ya hizi hekaheka za kuusaka ufalme.
 
Watajua wenyewe huko daslama......, wacha niendelee kupalilia zangu kahawa na ndizi maana hata hii nchi akikaaa nani bado tutabaki kuwa Wapumbavu tuuu na kudanganywa na maneno ya kwenye tiviiii....
Ova.
 
Acheni mis information.... Ni wapi wamesema blood clots zimesababishwa na chanjo?
 
Huwez kupata hizo report kama walivyofanya kwa JPM hata sasa wanafanya yale yale ya kufumbia macho uchunguzi wa afya ya marehemu kabla ya kifo.

Hivi ni vifo vyenye utata sana na huenda au basi....... Naishia hapahapa[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…