Hapa JF bwana, unaongea kwa kumung'unya maneno?Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Chanjo ipi Ina madhara? Ndugu zangu wanna wamechanjwa na sijaona complications mpaka leonini? Hizo chanjo fake zenye madhara?
Si watu walichanjwa zaidi ya 70% huko duniani so ikatangazwa kuwa COVID 19 imepotea na lockdown zikaisha. Bila chanjo ulikua hauoni maelfu walivyokua wanakufa Kila siku.Kuchanjwa kwa ugonjwa gani? Huo ugonjwa fake ulioachwa kupigiwa makelele baada ya Vita vya Ukraine?
Punguza ujuaji Mimi wazee wangu waliugua hiyo kitu manusura wapoteze uhai wao na wameponea ICU. Sasa hiyo scam ni Nini? Unless ungesema umetengenezwa maabara ila COVID was real na uliua watu.Alafu unasema "ukichanja inapunguza risk ya bla bla"
Wapi huko wanapukutika? Mbona familia yetu hawajapukutika mwaka wa 2 Sasa wamechanjwa?! Acheni mis information!!Zimesemwa mara nyingi tu. Chanjo hazifai, watu wanapukutika si mchezo
Mkatoliki Hadi kuchaNchimbi ana impact gani?
Alimuokoa Kiongozi wa Chama asiingie kwny 18 za Mwamba akiwa Hoteli Kahama kwa simu ya usiku wa mananeNchimbi arudi tu, chuma cha pua.
Kurudi kule Kwa Yale ma failures itakuwa disaster Bora tugawane fito..Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Tujifunze kusamehe kwa kuwa Mola ni mwingi wa kusamehe
Kwenye Uislam kuna Swala ya kuswalia Maiti ( Marehemu ) kabla hajazikwa
katika Sehemu ya mwisho ya swala hiyo huwa tunamuomba Mola apokee matendo yetu Mema na asifutinishe tuliobaki kutokana na ya Marehemu huyo
Upuuzi mtupu!!Nikiwa kijiji kwangu huku njilinji nikiendelea na shughuli za kilimo nimeshtushwa na taarifa ya kifo cha Mh. Benard Membe (kachero mbobezi) natuma salamu za pole kwa ndugu jamaa na marafiki. Poleni sana kwa huu msiba mzito.
Kutokana muunganiko wa code mbalimbali nachelea kusema mambo kadhaa.
1. Musiba is just a factor. Wapo wenyewe ambao wana mission yao. Kuna movement kubwa chini ya kapet ambayo inatengeneza mwelekeo wa siasa zijazo (nafasi kubwa za nchi) hivyo watawala wachague kukumbatia bomu au vinginevyo waswahili wanasema fuga chatu ipo siku ... yaani ipo siku..
2. Kuna mwelekeo mmoja wa kiitikadi unaofanana ndani ya idara. Udhibiti unahitajika kwa sababu ya madhara yanayoweza kutokea siku za usoni. Katika mchakato wa kurekebisha msifanye makosa ya kijinga kama (udini) nk. rudisheni idara alipoiacha mwangonda, amuwezi kuwa na idara ndani ya idara
3. Mrudisheni Nchimbi asaidie ku regulate hii movement ndani ya serikali na chama for the sake of 2025 au 30 kama mnataka kutengeneza mwelekeo mzuri alioanzisha Mama au turudi tena kuanza upya hii flow ya FDIs mnayoiona Mama amefanya kazi kubwa sana dhibitini hii movement.
Mungu Ibariki Tanzania
Hawaongei wale walichunianaAkamsalimie JPM
Yaani inasikitisha sana. Na agegombea hakika angeweza kushinda. Namlilia BM.Inasemekana Membe alitaka kugombea 2025 hivyo kawekwa pembeni, RIP Membe
Musiba popote ulipo naomba hela zanguMsicheze na mkerewe
Hivi urais kumbe ni dili sana ehh?? Dahhh..nami nianze kuufikiria.Inasemekana Membe alitaka kugombea 2025 hivyo kawekwa pembeni, RIP Membe
Musiba apeleka musiba Lindi...but awe factor au asiwe factor, deni liko palepale.. ajiandae kupambana na wasimamizi wa mirathi maana hao ndio ngangari kuliko hata marehemu mwenyewe (ni fisi aliyekabidhiwa bucha)- hawasikii na hawataambiwa kitu... matakwa ya marehemu na wosia wake utazingatiwa zaidi...Musiba is a factor kuna wenyewe
Sio kweli kwa kwa hilo. Kabda lingineInasemekana Membe alitaka kugombea 2025 hivyo kawekwa pembeni, RIP Membe
Nakuona jinsi unavyoteseka.Nani alisema ukichanjwa haupati COVID 19? Ile inapunguza risks ni kama tu kuvaa condom na kulinda maambukizi dhidi ya vvu?
Pia takwimu zipi zinasema kuwa waliochanjwa Wana risk zaidi kuliko wasiochanjwa?