Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

Mtetezi wa wanyongwe, wakati kila mradi mkubwa ulifanyika huko ukanda wa nyonyo
Jinga mkubwa wewe, miradi ya mafuta Ohima to Tanga, Miradi ya SGR & umeme Rufiji, Njia nane ubungo to kibaha, ujenzi wa vituo vya afya, uboreshaji wa bandari, meli kwenye maziwa makuu, uboreshaji wa viwanja vya ndege, barabara, ujenzi wa stendi kila mikoa na (w) n.k, halafu unaandika ujinga hapa
 
Hapana lets be fair Magufuli alijitahidi kila mkoa kugusa kimaendeleo angalia Miradi ya Dodoma uwanja ndege msalato, barabara za jiji, mradi wa maji na mji wa serikali/ikulu,hospitali kuu ya dodoma nk,kwa Dsm angalia flyovers,barabara njia 8,Kigoma barabara Nyakanazi na uboreshaji wa Bandari kuu, meli ziwa Nyasa, Karagwe barabara, angalau musoma hospitali kanda,je vipi daraja la Wami pwani kuelekea kaskazini,kwa Arusha mradi kabambe wa maji jiji na barabara njia mbili hadi himo etc,SGR ilianzia DSM Morogoro hadi Singida, mradi wa Umeme Rufiji Pwani, Miradi ya standi na masoko kila mahali kila mahali mwanza ndiyo inajengwa! ujenzi wa mashule na vituo vya afya kila mahali nchini etc. Mnyonge Mnyongeni haki yake mpeni. Huyu ndiye Rais Pekee aliyesukuma maendeleo kila sehemu ya nchi angalau bila kusahau kanda ya ziwa kidogo sana ambapo tawala zilizopita ziliibagua by 100%. Mfano uwanja ndege Mwanza aibu miaka 30 mbovu kabisa wakati maeneo mengine KIA,Songwe na JNIA mkeka kimataifa, barabara za jiji Mwanza na miundo mbinu ya barabara ya jiji ni Zero! angalia masoko na stendi mapya za mabasi ya Dodoma, DSm, Morogoro etc. Vyuo vikuu Kanda ya Pwani, Kusini, Arusha etc kanda ya ziwa hakuna!Je mlitaka hali hìi ya ubaguzi wa kanda ya ziwa iendelee mpaka lini? The regeneration of socio economic imbalancies.Hata hivyo Magufuli hajaisaida sana kanda ya ziwa kivile ukiacha daraja la Busisi tu. Watu wanaona na kufuatilia huko mbele italeta lawama kwa CCM. SO FAR MIRADI HII NI UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI WA CCM iwapo kanda ya Nyonyo itaendelea kusahaulika kimkakati 2025 Wapinzani watatumia kete hii kurudisha nguvu na ushawishi walioupoteza kanda hii kipindi cha Magufuli. CCM BE VIGILANT AND ACT SRTATEGICALLY ON THIS ISSUE OF LAKE ZONE. Kazi iendelee
Umetema madini kiongozi🙏🙏🙏
 
By all fairness, CCM kama chama kilikufa wakati wa JK. Ndio maana upatikanaji wa JPM kama mgombea wao iliacha maswali mengi. JK alishakiri kwamba yeye ndie alienda kikaoni na jina la JPM mfukoni. Rejea hotuba yake wakati wa mazishi ya JPM akijinasua na hearsay kwamba hakuwa anampenda JPM. Kwa maneno mengine hata huko CCM ndani ni one man show wakitumia ubovu wa Katiba kwamba rais ni mungu mtu na akiwa chamani kwake pia ni rais. Ndani ya CCM Mwenyekiti (rais na amirijeshi) amtakaye huwa. Kinachofuata ni matumizi ya dola na vyombo vyote kuibakisha madarakani.

Kama huamini kama CCM imekufa au ni ya watu wachache, itisheni uchaguzi usimamiwe ki huru na haki utaona maajabu! Kwa ubunge watapata less than 40%. 60% watagawana ACT wazazendo 10% na CHADEMA 50%. Hata kwa urais hali ni hiyo hiyo hata CCM wamweke nani. Hata hao wanachama 8m wa CCM ni nadharia tu lakini ki uhalisia hawapo. CCM ilishakufa na wenyewe wanajua. JPM na sarakasi zake zote hakuwa mwumini wa chama chake ndio maana hakuwa na impact yoyote zaidi ya kutumia pesa za serikali atakavyo, tena kibaguzi akijifunika ngozi ya CCM. CCM imekufa its just a matter of time tutaambiwa mazishi na matanga yake kana KANU na cha mzee Keneth Kaunda, Banda Malawi na ZANU. Stay tuned!
 
1. CCM haina nguvu zaidi ya upinzani

2. Upinzani dhaifu ndiyo ...

Unaelewa ulichoandika?
CCM haina nguvu zaidi ya upinzani. Kimsingi, upinzani dhaifu ndiyo umeifanya CCM kuendelea kuwa madarakani pamoja na uchakavu na ukale wake bila kusahau kukosa mwelekeo, ufisadi na umalaya wa kisiasa.
c
 
Ccm ilishakufa hata magu bila police asingepita.Ccm hawana mtu anaeuzika kwa sasa,njia nyeupe kwa upinzani kama wwkijipanga.
Bora tumpe Rungwe kuliko ccm shamba la bibj
 
Unaweza ukadhania ni masuala ya hadithi za kudhania lakini ukweli ni kuwa mpaka sasa watanzania wengi wanaamini kuwa haikuwa jambo la kawaida.

Wengi wanaamini zilikuwa ni njama za wanaCCM kumuondoa kipenzi cha wanyonge na mtu aliyetetea wananchi wanyonge wa kawaida.

WanaCcm wanaopenda kuwakamua watanzania na kuliibia taifa lao ndio walifanya njama ili hayati JPM asiwepo maana aliwadhibiti ili wasiibe mali za umma.

Kwa wananchi kwenye uchaguzi wa 2025 hii ndio itakuwa fimbo kubwa kama hoja kuiadhibu CCM.

Maana itakuwa ndio kithibitisho kuwa CCM ni chama cha kutetea ufisadi.
Huyu huyu ambaye alizuia ajira za wanetu kwa miaka 6!
Aliye zuia kupanda mishahara na madaraja ya watumishi!!
Labda mi sielewi maana ya kutetea wanyonge
 
Unaweza ukadhania ni masuala ya hadithi za kudhania lakini ukweli ni kuwa mpaka sasa watanzania wengi wanaamini kuwa haikuwa jambo la kawaida.

Wengi wanaamini zilikuwa ni njama za wanaCCM kumuondoa kipenzi cha wanyonge na mtu aliyetetea wananchi wanyonge wa kawaida.

WanaCcm wanaopenda kuwakamua watanzania na kuliibia taifa lao ndio walifanya njama ili hayati JPM asiwepo maana aliwadhibiti ili wasiibe mali za umma.

Kwa wananchi kwenye uchaguzi wa 2025 hii ndio itakuwa fimbo kubwa kama hoja kuiadhibu CCM.

Maana itakuwa ndio kithibitisho kuwa CCM ni chama cha kutetea ufisadi.
Hata ikigawanyika - bila Tume huru ya Uchaguzi hakuna kipya ni kupoteza muda tu.
 
Unaweza ukadhania ni masuala ya hadithi za kudhania lakini ukweli ni kuwa mpaka sasa watanzania wengi wanaamini kuwa haikuwa jambo la kawaida.

Wengi wanaamini zilikuwa ni njama za wanaCCM kumuondoa kipenzi cha wanyonge na mtu aliyetetea wananchi wanyonge wa kawaida.

WanaCcm wanaopenda kuwakamua watanzania na kuliibia taifa lao ndio walifanya njama ili hayati JPM asiwepo maana aliwadhibiti ili wasiibe mali za umma.

Kwa wananchi kwenye uchaguzi wa 2025 hii ndio itakuwa fimbo kubwa kama hoja kuiadhibu CCM.

Maana itakuwa ndio kithibitisho kuwa CCM ni chama cha kutetea ufisadi.b

Unaweza ukadhania ni masuala ya hadithi za kudhania lakini ukweli ni kuwa mpaka sasa watanzania wengi wanaamini kuwa haikuwa jambo la kawaida.

Wengi wanaamini zilikuwa ni njama za wanaCCM kumuondoa kipenzi cha wanyonge na mtu aliyetetea wananchi wanyonge wa kawaida.

WanaCcm wanaopenda kuwakamua watanzania na kuliibia taifa lao ndio walifanya njama ili hayati JPM asiwepo maana aliwadhibiti ili wasiibe mali za umma.

Kwa wananchi kwenye uchaguzi wa 2025 hii ndio itakuwa fimbo kubwa kama hoja kuiadhibu CCM.

Maana itakuwa ndio kithibitisho kuwa CCM ni chama cha kutetea ufisadi.
Hakiyamungu angeendelea kuishi mpaka sasa watanzania tungeokota makopo mana alikuwa hajali kabisa ustawi wa watu yeye ilikuwa barabara tu.

Waliokuwa wanampenda jama ni wale ambao tayari wako ajirani au wana ajira na wenyewe walikuwa wanampenda kama kasumba ya mtanzani kwamba akishapata hataki mtu mwingine apate ili uzidi kumnyenyekea yeye. Kundi lingine lililokuwa linampenda ni lile la waliokuwa wanashangilia ili aliyefukuzwa afanane nao ili wote wote wawe maskini mana alijidai sana.

Kundi la tatu ni ambalo halina elimu kabisa kwa hiyo halijui hta future mana yake nini kinachokuja mbele yao sawa tu vyote maisha.

Kiujumla jpm angekuwa anaongoza nchi watu wangezidi kutembea uchi kwa kuchanganyikiwa
 
Elezea miradi aliyoifanya chato ni mingapi, kilimanjaro mingapi, arusha mingapi, ruvuma mingapi, mbeya mingapi?mwanza mingapi,
Yule alikua mbinafsi sana hata teuzi nyingi ni sukuma tu
Hao wasiokuwa wabinafsi wameitendea nini tanzania zaidi ya kuiba na kuingia mikataba ya kinyonyaji huku wakipeana nafasi za uteuzi za kujuana na kushindwa hata kutumbuana mtu akiharibu?

Ukitoa siasa zenu taka hakuna mahali ambapo magufuli hakupagusa kwa ukubwa au udogo. Iwe miundombinu ya umeme, iwe zahanati, vituo vya afya au hospital za rufaa, iwe miundombinu ya maji, iwe shule, iwe vivuko na meli, iwe barabara au viwanja vya ndege, iwe utoaji wa huduma bila rushwa katika taasisi za serikali..wasiotaka siasa za kijinga wanatambua mchango wa magu kwa nchi.
 
Mtetezi wa wanyongwe, wakati kila mradi mkubwa ulifanyika huko ukanda wa nyonyo
Huijui tanzania eng. Mzima unasikiliza story za vijiweni ,ungetembelea mikoa yote ya tz ndo ungejua nchi inajengwa namna gani ma hayati jpm.
 
Wanabodi tumuache magufuli apumzike,katika utawala wake Ni kweli mauji yalifanyika,utekaji ulifanyika,utapeli ulifanyika,manunuzi ya kihuni ya wapinzani yalifanyika,Uhuru wa habari ulibanwa,lakini yote hayo tuliyavumiliana kwa taabu na shida.ilitulazimu kuswali,kuomba na hata kufunga ili mungu wa mbinguni atuondolee utawala wake kishenzi uliokuwepo kweli dua ilipokelewa na kujibiwa.leo Tena hangaya anataka kututudisha kule kwenye kuswali,kuomba na kufunga ili kumlilia mungu juu ya utawala usio na haki.ccm haina jipya lolote kwa nchi na wananchi.
Yawezekana pia yasingefanyika mauaji ungekufa wewe, waulize wakazi wa kibiti wanajua hili.

Uhuru usio na mipaka ni vurugu ndio maana wewe kama unaishi na wazazi wako huwezi kupita na demu sebuleni walipokaa wazazi wako ukaingia nae chumbani kumkaza. Au huwezi kukubali binti yako akupite sebuleni ulipokaa aingie chumbani na jamaa yake kukazwa japo ni sehemu ya uhuru.

Huwezi kujiona mjanja sababu kuna mtu usiyempenda amekufa wakati hata ndugu zako unaowapenda wamekufa na wataendelea kufa. Yawezekana hapo huna wazazi au mmojawapo alishakufa.
 
Hakiyamungu angeendelea kuishi mpaka sasa watanzania tungeokota makopo mana alikuwa hajali kabisa ustawi wa watu yeye ilikuwa barabara tu.

Waliokuwa wanampenda jama ni wale ambao tayari wako ajirani au wana ajira na wenyewe walikuwa wanampenda kama kasumba ya mtanzani kwamba akishapata hataki mtu mwingine apate ili uzidi kumnyenyekea yeye. Kundi lingine lililokuwa linampenda ni lile la waliokuwa wanashangilia ili aliyefukuzwa afanane nao ili wote wote wawe maskini mana alijidai sana.

Kundi la tatu ni ambalo halina elimu kabisa kwa hiyo halijui hta future mana yake nini kinachokuja mbele yao sawa tu vyote maisha.

Kiujumla jpm angekuwa anaongoza nchi watu wangezidi kutembea uchi kwa kuchanganyikiwa
Yaani kwa umri wako bado unategemea kuajiriwa, bora Magufuli aliwafungiua watu wakajiajiri na amewaacha vizuri, isipokuwa wewe unayesubiri kuajiriwa
 
hebu tuambie kanda ya kaskazin alifanya nini.

e
Tulijua tu mtalalamika mlijifanya nchi ya kwenu tangu 1960, sasa cha moto mtakiona mlizoea kutumia rasilimali za nchi kuwekeza kwenu. Mna tofauti gani na aliyofanya magufuli, mnalalamika kwa kuwa magufuli aliwatemesha tonge. Na hamtalipata tena
 
Katb mpya inaweza kuwasaidia mcc katk pto lao linalokuja
 
Back
Top Bottom