Kifo cha Dkt. Magufuli kuipasua CCM 2025

JPM is dead and gone mkuu, vuta shuka simama piga mswaki ingia bafuni uoge halafu vaa nguo zilizopigwa pasi kisha uondoke zako. Ni mchana wa saa tisa kasorobo sasa hivi.
 
CCM haina nguvu zaidi ya upinzani. Kimsingi, upinzani dhaifu ndiyo umeifanya CCM kuendelea kuwa madarakani pamoja na uchakavu na ukale wake bila kusahau kukosa mwelekeo, ufisadi na umalaya wa kisiasa.
UPINZANI DHAIFU kivipi bc wakati huo upinzani hawashindani na CCM Bali dola. Bawacha wakifanya jogging, Polisi hawa hapa! CCM wakifanya jogging, Polisi wanafanya escort! Hebu mizani ya siasa iwekwe sawa halafu ndipo uone udhaifu wa wapinzani.
 
Mkuu fanya utafiti binafsi katka kipindi Cha uchaguzi wa ndani ya ccm kwa miaka iliyopita, watu waliochukua form za kuogombea ubunge, 100k x kwa idadi ya majimbo yote unajua ccm ilivuna sh ngp?? Hapo ndpo itapima ccm ilikubalika kwa kiwango kipi, maana hata wale ambao hatukujua Kuwa Ni ccm tukajua, Magu alikuwa 1 ila mwenye maono ya watz wengi
 
Mkuu umeandka vzr Sana, swal langu Ni dog tu unazungumzia Cha kipi Cha chadema?? Hiki Cha Sasa Cha kubadili gia angani?? Au Cha silaa?? Au Cha .com kinachoendeshwa kidigital?? Kipi??
 
alikuwa hatari kwa taifa
 
Mkuu JPM au Jiwe kama alivyojiita mwenyewe alikufanyaje personally nataka kujifunza
Mkuu Kaskazini wana chuki mbaya sana, wanasahau kwamba bila JPM watoto na wajukuu zao wangeendelea kusoma kwenye vitabu kuwa tuliwahi kuna na treni ukanda ule.Acha jamaa apumzike lakini mwendo aliupiga.

Na wanachomchukia nacho ni kukata mirija yao ya unyonyaji wa rasilimali za nchi kupeleka kaskazini. Uzalishaji kule hoi, wanategemea ku--ba sehemu zingine
 
pingu, sandarus, utekaji, watu kupotea au kupigwa risasi na kutupwa baharini au mtoni. hata haya hujui? au unauliza tu?
Mkuu ukitafuta namna ulivyo eleza nikana kwamba unajua taasis inavyofanya kazi ila umeamua kufanya uamuzi wa kutoa maoni kana kwamba hufaham taasis zinavyofanyakazi... Anyway Asante mkuu kwa majib
 
Mobutu naye anatetewa?
 
Sawa lakini tumshukuru mwenye enzi kwa kutuondolea yule mtu katili
 
Mkuu

CCM ipi wakati ilikufa kitambo na JPM kajitahihidi kuleta CCM Mpya ambayo majoka yaliyokuwa yamejificha kwenye vichunguu yamejitokeza nje lakini wananchi wanaipuuzia kwa vitendo ilivyoanza kuvifanya.

*The endorsement rate has dramatically dropped beyond the limit to be favored anymore.
 
Kwani ccm iliungana lini ukiacha kipindi cha chama kimoja? Au unataka kumtakatisha dhalimu nini? Kinachofanya hicho kivuli kiitwacho ccm kubaki masikioni mwa watu ni vyombo vya dola. Kipindi cha dhalimu ndio kulitokea siasa na chaguzi za kishenzi ile mbaya. Kama alikuwa anatetea wanyonge, kipi kilimfanya anajisi chaguzi za nchi hii?
 
Magufuli hakuwa na ushawishi kanda ya ziwa,bali alitumia makundi ya kihalifu na kiburi cha madaraka kulazimisha ionekane ana ushawishi. Hakutaka wapinzani wafanye siasa kwa mujibu wa sheria, ili kuhadaa umma kuwa ameufuta upinzani kwa ushawishi wa kisiasa. Ndio maana wakati wa uchaguzi aliigiza uchaguzi wa kihayawani kufanyika, na kutangazwa kwa idadi ya kura ambazo hata wapiga kura hawakufika. Katafute wajinga ndio uwahadae.
 
wee taga la mwendazake a.k.a sukuma gang utasubiri sana, CCM haipasuki ng'o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…