Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
-
- #81
Sina muda mrefu humu Jf ila najua wewe una chuki na hayati JPM. Full stop.Kwani ccm iliungana lini ukiacha kipindi cha chama kimoja? Au unataka kumtakatisha dhalimu nini? Kinachofanya hicho kivuli kiitwacho ccm kubaki masikioni mwa watu ni vyombo vya dola. Kipindi cha dhalimu ndio kulitokea siasa na chaguzi za kishenzi ile mbaya. Kama alikuwa anatetea wanyonge, kipi kilimfanya anajisi chaguzi za nchi hii?
a muda mrefu humu Jf ila najua wewe una chuki na hayati JPM. Full stop.
Unatatizo kubwa kuliko unavyodhani?Wewe ndiye hujui sasa. Mwendakuzimu alipendelea nyonyo zone asilimia 💯
Alikuibia nini?unatetea jizi
PoaUnatatizo kubwa kuliko unavyodhani?
Mkuu wakati mwingine ukiwa muongo mwisho wake nikukosa heshima, ama sijui wewe hutembei umebaki na kisimu tu kuandika usiyoyajua, hebu niambie ni mkoa gani ambao mwendazake hakupeleka mradi mkubwa,kama si hospitali au si barabara au masoko au sio vituo vya mabasi,huduma za maji.Watu tuwe wakweli bana mwendazake kafanya makubwa katika miaka 5 tu ambayo wengine hata katika miaka kumi hawajafanya!Mtetezi wa wanyongwe, wakati kila mradi mkubwa ulifanyika huko ukanda wa nyonyo
Kwa hiyo Mimi ni mwongo mnafki mzushi kama mwenda zake ,usitake niamini unachokiamini, Hakuna chochote alichofanya.Mkuu wakati mwingine ukiwa muongo mwisho wake nikukosa heshima, ama sijui wewe hutembei umebaki na kisimu tu kuandika usiyoyajua, hebu niambie ni mkoa gani ambao mwendazake hakupeleka mradi mkubwa,kama si hospitali au si barabara au masoko au sio vituo vya mabasi,huduma za maji.Watu tuwe wakweli bana mwendazake kafanya makubwa katika miaka 5 tu ambayo wengine hata katika miaka kumi hawajafanya!
Elezea miradi aliyoifanya chato ni mingapi, kilimanjaro mingapi, arusha mingapi, ruvuma mingapi, mbeya mingapi?mwanza mingapi,
Yule alikua mbinafsi sana hata teuzi nyingi ni sukuma tu