Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Inawezekana hukusoma hiyo paper, na kama umesioma basi inawezekena umesoma ukiwa na mindset ambayo inakufanya ushindwe kutafsiri data walizoweka pale. Ugonjwa kuendelea kuevolve ni kitu kimoja kwani kumekuwa na variants mbalimbali za virus hiyo zikijitokeza; hata hivyo variants hizo hazijabadilisha tabia ya jinsi gani mwili wa binadamau unavyorespond.
 
Hili hayo yote yafanyike juu ya afya ya mgonjwa ni lazima uwe na watu wa karibu wanaojua historia ya afya yako, wapo watu anasema anajisikia vibaya waliomzunguka wanampa maji kumbe ana tatizo la sukari kushuka, mwingine anapewa soda kumbe sukari yake inapanda nk.
 
Kwa huu mstari wa mwisho unaonesha huna elimu na ni mtoto mdogo. Mtu mwenye elimu na umri wa kutosha asingeandika hivyo
 
Kwanza hata inakuwaje huu uwe mjadala hapa.

Mada inayojadiliwa ni tofauti kabisa na haya yako unayoyaleta hapa, pamoja na kwamba huna uelewa juu yake.
 
Hawa walikula meza moja na JPM nafikiri watakwisha wote.
 
Jamaa angekuwa 40 yrs ningeungana na hoja hii ila 70 plus alikuwa anamalizia spare time tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…