Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Kuna mahali mmoja alisema according to him ... ngoja nimfuate na nitarudi naye hapa kwenye kikao ...... kwa hali hiyo kulikuwa na tuhuma ambazo late alitakiwa kujibu.....Mimi sitaki kutilia shaka sababu nimeshuhudia watu kufariki ghafla tu tena sana mtu mzima mara anajisikia vibaya anapoteza maisha. Shida yangu moja tu kwa yule sijui katibu mkuu aliyekuwa anasimulia tukio. Kwa mujibu wa maelezo yake kajisikia vibaya akamwambia nenda ofisini kapumzike kikao kiendelee baadae akasema ngoja nikamwangali kaenda kamkuta kwenye kitu ila wazi hali yake sio nzuri akauliza wasaidizi kimetokea nini wakasema aliomba tu AC iongezwe iwe baridi basi akakaa mpaka alivyokuja na kumkuta.
Anyway mmesema afya yake alikuwa imedorora ukiongeza na hayo ya kikao lazima moyo ushindwe kuhimili.
Ameondoka ni nini kitafuata, muda utaongea.