Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Kifo cha kawauda hakuna sumu wala nini....RiP Eng Mfugale
 
Inner circle in the cyclic cycle of being out of both power and authority. Who is the next?
 
Nadhani swali gumu zaidi na ambalo halitajibika ni kama unayosema ni kweli..., ni nani alifanya hivyo ?
 
Uviko unaandika bila kujua ukweli hutu mzee alikuwa na mgonjwa kwa muda mrefu tuu na ndio maana hata mwendazake alimruhusu afanyie kazi DSM ili kuwa jirani na matibabu.

Hv unafikiri mtu mwenye umri zaidi ya 70 years afya yake ikoje!
Hivi kwani huyu alikuwa hajastaafu kwa sababu gani?
 
Hujui kuwa mfano Dr.Mwakyembe aliwekewa sumu?Unaishi wapi?
Rafiki yake Mwakyembe, Marehemu Samwel Sitta, ndiye aliyetuambia kuwa Mwakyembe kawekewa sumu. Mwakyembe aliporudi kutoka India alituambia kuwa ana auto-immune disease fulani. Wewe unaishi wapi?
 
Kumbe naye alikoswakoswa Kama Lisu na Mwakyembe na Kubenea.
Mkapa alivyonitoa serikalini nilimlaumu sana, lakini nikiangalia nyuma na kumkumbuka Dr. Fupi naona aliniokoa. Maana Mimi Nina kiherehere halafu siwezi kuwa YES man na kumtukuza mtu hasa nikijua namzidi elimu ama umri.
Dr.Fupi[emoji25][emoji17][emoji25][emoji17]Hakuna kifo kiliniuma kama kile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.

Wito wangu kwa Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.

Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.

Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).

Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo JF kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Mkuu inaonyesha una utalaam wa kutosha wa uchunguzi, pia inaonyesha una ushahidi mwingi juu vifo vya vigogo kadhaa.
Nakushauri peleka ushahidi ulionao kwenye vyombo husika ili wachukue hatua.
 
Kuna nyuki amefia kwenye chai yangu ya rangi...alijichanganya.....akafikiri asali itaanza kwenye chai.

Hey guys, unfortunately kifo hakiepukiki. Kila mtu atakufa. Na anayeua pia naye atakufa. Na asiyeua pia naye atakufa. Kama huyu nyuki shujaa aliyejiingiza kwenye chai ya moto, bila kufuata katiba
 
Back
Top Bottom