Alijinywesha panado nyingi akasingizia sumu. Sumu unaijua wewe.Hujui kuwa mfano Dr.Mwakyembe aliwekewa sumu?Unaishi wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alijinywesha panado nyingi akasingizia sumu. Sumu unaijua wewe.Hujui kuwa mfano Dr.Mwakyembe aliwekewa sumu?Unaishi wapi?
unasema?Nchi hii haijawahi kuwa na uchunguzi wenye tija, hasa wahusika wanapokuwa 'wanajulikana' tayari…. usitake kutuchosha na kutupotosha sisi tunaojua kinachoendelea.
Ukimfukuza chizi hakikisha unayatupa mbali makopo yake, la sivyo ni lazima atarudi tu.
kwani wana faida?Marafiki zake.. Na watu wake wa karibu wataondolewa.. Mobeyo, kabudi, kuwa makini..!
Says who?Shahidi namba moja akifa, kesi inakosa nguvu na wengi wanapona.
Vipi na Dr. Magufuli naye, ni njia ile ile?Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Basi wewe utakuwa Chahali yule wa Ughaibuni. Ndio anaandikaga mambo ya ovyo kama haya.Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Uviko unaandika bila kujua ukweli hutu mzee alikuwa na mgonjwa kwa muda mrefu tuu na ndio maana hata mwendazake alimruhusu afanyie kazi DSM ili kuwa jirani na matibabu.Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Hivi Dr.Mwakyembe alibahatika kufikwa na umauti.Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Huyu Marehemu alivyokuwa Hai alishawahi Kukuambia kuwa ameingia Makubaliano Maalum na Mwenyezi Mungu kupitia Wakala wake Mkuu wa Vifo na Kuua aitwae Israeli kwamba Yeye hatokufa na ataishi Milele hapa duniani?Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Mgonjwa alikuwa anapiga kazi kweri kweriUviko unaandika bila kujua ukweli hutu mzee alikuwa na mgonjwa kwa muda mrefu tuu na ndio maana hata mwendazake alimruhusu afanyie kazi DSM ili kuwa jirani na matibabu.
Hv unafikiri mtu mwenye umri zaidi ya 70 years afya yake ikoje!
Mwaka jana kuna watu wengi sana walikufa kwa covid-19 eneo ninaloishi. Kuna wakati mwanafunzi wangu aligua covid-19 nikaandika hapa kuwa huenda na mimi ni mhanga, watu wengi wakanitoa hofu na kunishauri nitumie nyungu! Mungu ni mkuu alininususru, na namshukuru sana kwa hilo.Sijui hilo tatizo lake unalojua ni tatizo gani; lakini kwa hali ya sasa, na hili la COVID-19, ukiwa mtaalam huwezi kamwe kuhitimisha kama unavyofanya hapa.
COVID-19 ina mambo mengi sana ambayo bado hayafahamiki/hayaeleweki; huwezi ukawa mtaalam wa kuondoa hilo tatizo alilokuwa nalo, eti haliwezi kuwa sababu, huku ukijua kwamba COVID-19 inayo mambo mengi sana yasiyofahamika hadi sasa.
Kwamba postmortem, yaani uchunguzi wa ripoti ya kitabibu juu ya chanzo cha kifo ambapo hufanywa na madaktari hautoshi? Kwani haukufanywa?? Kama umefanywa je unasemaje?Mimi nimehisia tu (suspect). Serikali ndiyo inatakiwa na inauwezo wa kuchunguza na kuthibitisha
Acha uzushi kama kidume weka namba zako za sinu hapo mwisho,yaani serikali ikuue then ikuchunguze yenyewe acha kujichanganyaHabari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Umeeleza VIZURI ila naongeza uyu bwana sio maskini familia wanashindwa vipi kufanya uchunguzi binafsi wa ndugu yao hata KWA kupeleka mwili kenya ,ili mwisho wa siku waje na majibu mazuri , kwamba kama alitendewa Jambo baya wanafikili watapata majibu sahii,Mkuu, kwenye matukio ya hao watu, ilithibitika wazi kwamba walipewa sumu?
Ushahidi upo, au niyale yale ya semwayo mitaani?
Sina sababu za kutilia mashaka utaalam wako kama ulivyojieleza hapo juu, lakini swali langu liko wazi kabisa. Naomba ulijibu bila ya wasi wowote.
Kuna kitu hata mimi bado kinanishangaza mimi.
Inakuwaje ndugu wa marehemu wawe wanalalamika tu, huku wakikubali kwenda kumzika ndugu yao kabla ya kujiridhisha kwamba hakufanyiwa mchezo mchafu?
Ninashindwa kabisa kulielewa hili. Sasa wakishazika, wataendelea tena kulalamika?
Kwa kawaida ningetegemea, hata bila ya ndugu kuhimiza:
1. Hospitali wawe wameufanyia postmortem mwili ili kujua chanzo cha mauti yake, matatizo ya moyo, upumuaji ,n.k.; lakini sijui kama haya yalifanyika (itakuwa ni ajabu kama haikufanyika postmortem); na kwa kifo cha ghafla kama hiki, na uwezekano wa uwepo wa mchezo mchafu, ndugu nao wangekaribishwa, au wangeombwa/wangeomba awepo mwakilishi wao katika uchunguzi huo.
2. Sasa hivi, uwepo wa COVID-19, itashangaza sana, kama hapakuwepo vipimo vya COVID-19, ili kujiridhisha kwamba haikuwa sehemu ya matatizo yaliyomsababishia kifo.
3.Sampuli za damu, masalia ya chakula tumboni mwa marehemu, ndugu wangehakikisha sampuli hizo zinachukuliwa na kufanyiwa uchunguzi, chini ya uangalizi wao
Sasa sijui kama yote haya yamefanyika. Kama yamefanyika, basi kama ni sumu kapewa, kuna uwezekano ikajulikana ni sumu gani, halafu huo utakuwa ni mwanzo wa kumtafuta aliyefanya kazi hiyo.
Maelezo yaliyotolewa na wizara kufuatia kifo cha Mfugale yanaacha maswali mengi juu ya kifo chake.