Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Nchi hii haijawahi kuwa na uchunguzi wenye tija, hasa wahusika wanapokuwa 'wanajulikana' tayari…. usitake kutuchosha na kutupotosha sisi tunaojua kinachoendelea.

Ukimfukuza chizi hakikisha unayatupa mbali makopo yake, la sivyo ni lazima atarudi tu.
unasema?
 
Mimi sitaki kutilia shaka sababu nimeshuhudia watu kufariki ghafla tu tena sana mtu mzima mara anajisikia vibaya anapoteza maisha. Shida yangu moja tu kwa yule sijui katibu mkuu aliyekuwa anasimulia tukio. Kwa mujibu wa maelezo yake kajisikia vibaya akamwambia nenda ofisini kapumzike kikao kiendelee baadae akasema ngoja nikamwangali kaenda kamkuta kwenye kitu ila wazi hali yake sio nzuri akauliza wasaidizi kimetokea nini wakasema aliomba tu AC iongezwe iwe baridi basi akakaa mpaka alivyokuja na kumkuta.

Tuseme yote ni kweli ila hivi mtu kasema najisikia vibaya utamwambia nenda ofisini na wasaidizi walichofanya kuongeza AC sio mara moja kuandaa usafiri kumpeleka Hosp au kuita huduma ya kwanza bila kusubiri mpaka katibu mkuu aje ndio aratibu magari hivi kweli goverment city hakuna hata first aid clinic?

Kwa hapo kuna uzembe mkubwa sana katika ku deal na emergency case sisemi watu hawafariki lakini kuwe na hatua za haraka za kujitosheleza unaweza kuokoa maisha ya mtu yoyote. Kwenye hili haliko sawa na sio kwa marehemu tu kwa wafanyakazi wote linaweza kutokea.
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Vipi na Dr. Magufuli naye, ni njia ile ile?
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Basi wewe utakuwa Chahali yule wa Ughaibuni. Ndio anaandikaga mambo ya ovyo kama haya.
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Uviko unaandika bila kujua ukweli hutu mzee alikuwa na mgonjwa kwa muda mrefu tuu na ndio maana hata mwendazake alimruhusu afanyie kazi DSM ili kuwa jirani na matibabu.

Hv unafikiri mtu mwenye umri zaidi ya 70 years afya yake ikoje!
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Hivi Dr.Mwakyembe alibahatika kufikwa na umauti.
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Huyu Marehemu alivyokuwa Hai alishawahi Kukuambia kuwa ameingia Makubaliano Maalum na Mwenyezi Mungu kupitia Wakala wake Mkuu wa Vifo na Kuua aitwae Israeli kwamba Yeye hatokufa na ataishi Milele hapa duniani?

Watanzania baadhi yetu tunaanza sasa Kupanda Mbegu mbaya ya kuanza Kuhoji kila Mtu maarufu au Kiongozi tu akifa huku tukihusisha kuwa ni Mauwaji ya Kimafia na hatutaki Kukubali kuwa hata uwe nani chini ya Mbingu hii ukifika muda wako wa Kufa utakufa tu

Na bahati mbaya kuna baadhi ya Watu ( siyo Marehemu Mfugale ) ambao mnahoji Vifo vyao huku mkivihusisha na Njama za Kimafia kwa miaka mingi tu wanajulikana kuwa walishaathirika na Ugonjwa wa Kuishi kwa Matumaini, Saratani na Shinikizo la Damu.
 
Uviko unaandika bila kujua ukweli hutu mzee alikuwa na mgonjwa kwa muda mrefu tuu na ndio maana hata mwendazake alimruhusu afanyie kazi DSM ili kuwa jirani na matibabu.

Hv unafikiri mtu mwenye umri zaidi ya 70 years afya yake ikoje!
Mgonjwa alikuwa anapiga kazi kweri kweri
 
Naweza kukubaliana na wewe ili ulichokosea mkuu ni kutaka kutuonyesha kazi yako, ulitakiwa wewe utiririke tu ukimaliza Kaa kimya acha watu wacoment wawezavyo Ila Sasa mmh unatia Shaka hata Kama ni kutaka sifa tukujue wewe ni Nani sio poa🙄🙄🙄
 
Sijui hilo tatizo lake unalojua ni tatizo gani; lakini kwa hali ya sasa, na hili la COVID-19, ukiwa mtaalam huwezi kamwe kuhitimisha kama unavyofanya hapa.

COVID-19 ina mambo mengi sana ambayo bado hayafahamiki/hayaeleweki; huwezi ukawa mtaalam wa kuondoa hilo tatizo alilokuwa nalo, eti haliwezi kuwa sababu, huku ukijua kwamba COVID-19 inayo mambo mengi sana yasiyofahamika hadi sasa.
Mwaka jana kuna watu wengi sana walikufa kwa covid-19 eneo ninaloishi. Kuna wakati mwanafunzi wangu aligua covid-19 nikaandika hapa kuwa huenda na mimi ni mhanga, watu wengi wakanitoa hofu na kunishauri nitumie nyungu! Mungu ni mkuu alininususru, na namshukuru sana kwa hilo.

Covid-19 huwa haiui mtu kwa siku moja au mbili tu; inachukua muda wa kuanzia siku nane na kuendelea, kwani huanza na homa kabla ya mapafu kuanza kubana. Ile homa inaweza kuchukua siku nne au tano hivi kabla mapafu hayajaanza kubana; baada ya mapafua kuanza kubana inachukua si chini ya siku nne za mtu kuishi akiwa anahema sana kabla hajashindwa kabisa kupumua. Kwa mtu anayeugua ghafla siku moja na kufa siku hiyo hiyo au baada ya siku mbili tatu tu ujue siyo Covid-19, kuna kingine zaidi.

Data zilizotolewa na madaktari waliofanya utafiti wa kupima ni muda gani mwili unaweza kuhimiri covid-19 umeonyesha kuwa siku za chini ni nane hadi siku 37; paper yao iko hapa

 

Attachments

Mimi nimehisia tu (suspect). Serikali ndiyo inatakiwa na inauwezo wa kuchunguza na kuthibitisha
Kwamba postmortem, yaani uchunguzi wa ripoti ya kitabibu juu ya chanzo cha kifo ambapo hufanywa na madaktari hautoshi? Kwani haukufanywa?? Kama umefanywa je unasemaje?
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo jf kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Acha uzushi kama kidume weka namba zako za sinu hapo mwisho,yaani serikali ikuue then ikuchunguze yenyewe acha kujichanganya
 
Mkuu, kwenye matukio ya hao watu, ilithibitika wazi kwamba walipewa sumu?

Ushahidi upo, au niyale yale ya semwayo mitaani?

Sina sababu za kutilia mashaka utaalam wako kama ulivyojieleza hapo juu, lakini swali langu liko wazi kabisa. Naomba ulijibu bila ya wasi wowote.

Kuna kitu hata mimi bado kinanishangaza mimi.

Inakuwaje ndugu wa marehemu wawe wanalalamika tu, huku wakikubali kwenda kumzika ndugu yao kabla ya kujiridhisha kwamba hakufanyiwa mchezo mchafu?

Ninashindwa kabisa kulielewa hili. Sasa wakishazika, wataendelea tena kulalamika?

Kwa kawaida ningetegemea, hata bila ya ndugu kuhimiza:

1. Hospitali wawe wameufanyia postmortem mwili ili kujua chanzo cha mauti yake, matatizo ya moyo, upumuaji ,n.k.; lakini sijui kama haya yalifanyika (itakuwa ni ajabu kama haikufanyika postmortem); na kwa kifo cha ghafla kama hiki, na uwezekano wa uwepo wa mchezo mchafu, ndugu nao wangekaribishwa, au wangeombwa/wangeomba awepo mwakilishi wao katika uchunguzi huo.

2. Sasa hivi, uwepo wa COVID-19, itashangaza sana, kama hapakuwepo vipimo vya COVID-19, ili kujiridhisha kwamba haikuwa sehemu ya matatizo yaliyomsababishia kifo.

3.Sampuli za damu, masalia ya chakula tumboni mwa marehemu, ndugu wangehakikisha sampuli hizo zinachukuliwa na kufanyiwa uchunguzi, chini ya uangalizi wao

Sasa sijui kama yote haya yamefanyika. Kama yamefanyika, basi kama ni sumu kapewa, kuna uwezekano ikajulikana ni sumu gani, halafu huo utakuwa ni mwanzo wa kumtafuta aliyefanya kazi hiyo.

Maelezo yaliyotolewa na wizara kufuatia kifo cha Mfugale yanaacha maswali mengi juu ya kifo chake.
Umeeleza VIZURI ila naongeza uyu bwana sio maskini familia wanashindwa vipi kufanya uchunguzi binafsi wa ndugu yao hata KWA kupeleka mwili kenya ,ili mwisho wa siku waje na majibu mazuri , kwamba kama alitendewa Jambo baya wanafikili watapata majibu sahii,

Wafiwa poleni lakini pia yawabidi jiongeza , ili mpate chanzo au tatizo lililosababisha kifo chake , aliopokua wanasema hawajui tatizo Sasa mnashindwa vipi jiongeza kufanya uchunguzi binafsi wa marehem KWA kutumia watu Wengine nje ya tz
 
Back
Top Bottom