Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Kifo cha ghafla cha Mfugale sawa na Prof. Chachage: Kuna viashiria vyote vya kupewa sumu. Serikali ichunguze

Kama familia haijaridhika na sababu za kifo ni wazi wameitisha post-mortem na sampuli husika zitapelekwa kwa mkemia mkuu.
 
Mleta mada ungetuambia kuwa motive ya kumuwekea sumu ni nini? Inaelekea muhusika mkuu wa kikao alikuwa yeye
 
Habari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.

Wito wangu kwa Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.

Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.

Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).

Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.

NB: Pia nipo JF kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.

Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Ile ripoti ya CAG ilikuwa inamuweka pabaya hivyo akaamua tu kujifia kama swahiba wake mwendazake
 
Jikite kwenye hoja, hiyo postmortem report ataitoa nani?
Kama imefanyika ataitoa huyo daktari au jopo la madaktari waliofanya......kama kuna sampuli zimechukuliwa kwenda kwingineko itabidi wasubiri hayo majibu ili kukamilisha ripoti yao, sawasawa?
 
Kumbe naye alikoswakoswa Kama Lisu na Mwakyembe na Kubenea.
Mkapa alivyonitoa serikalini nilimlaumu sana, lakini nikiangalia nyuma na kumkumbuka Dr. Fupi naona aliniokoa. Maana Mimi Nina kiherehere halafu siwezi kuwa YES man na kumtukuza mtu hasa nikijua namzidi elimu ama umri.
Who benefits from his death?.

labda tuanzie hapo
 
Nadhani swali gumu zaidi na ambalo halitajibika ni kama unayosema ni kweli..., ni nani alifanya hivyo ?
And to benefit what?.

Marehemu alikuwa kikwazo kwa nani labda?

Ukute Baba wa watu ni siku zilifika
Ama ukute pia kuna mengine who knows
 
Back
Top Bottom