moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 142,674
- 743,909
Huwenda alionywaAfu mzee mangula mwenyewe mbona hata hakutaka kuliamsha dude alipopona? Au aliogopa kupotea moja kwa moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwenda alionywaAfu mzee mangula mwenyewe mbona hata hakutaka kuliamsha dude alipopona? Au aliogopa kupotea moja kwa moja?
Mtu ana miaka zaidi ya 68 na ni mgonjwa anatembelea mkongojo sioni ajabu kufa.Mhhh...ulishawahi kumuona kabla hajafariki ukajiridhisha na afya aliyokuwa nayo?
Kama familia haijaridhika na sababu za kifo ni wazi wameitisha post-mortem na sampuli husika zitapelekwa kwa mkemia mkuu.
Ile ripoti ya CAG ilikuwa inamuweka pabaya hivyo akaamua tu kujifia kama swahiba wake mwendazakeHabari wana JF. Leo nimefuatilia live wakati Eng. Mfugale anaagwa Dar. Kwa maelezo machache ya familia, idara na wizara ni wazi kabisa Eng. Mfugale alipewa sumu.
Wito wangu kwa Serikali ifanye uchunguzi wa kina kwa kutumia vyombo na njia zote. Kwa sababu bado hajazikwa nafasi ya uchunguzi wa kina bado ipo.
Kifo cha Eng. Mfugale kimefanana kabisa na kifo cha Prof. Chachage pale Kibaha kwenye kikao.
Nina sababu nyingi za kwanini nasema hivyo, nachelea ziandika hapa kwa sababu inaweza ishia toa hints zangu (taaluma na kazi yangu). Nimefunzwa vyema maeneo hayayalehayale (sitaki toa codes).
Pia nilifuatilia vyema issues za Prof. Chachage, Dr. Mwakyembe, Dr. Omary A. Juma kwa kutaja wachache.
NB: Pia nipo JF kitambo sana; wauaji au serikali wanaweza kuja na hoja mufilisi ya ugeni wa akaunti yangu. Hii ipo kimkakati na hii ndiyo chapisho langu la kwanza.
Best Regards;
Uviko 19 in 2021.
Mkuu mbona yanga a.k.a utopolo, huwa tunawapiga wakiwa na vyote hivyo...Refa wao, uwanja wao…. utatokaje?
Mkuu mbona yanga a.k.a utopolo, huwa tunawapiga wakiwa na vyote hivyo...
Ule wa pale ulishajaa maji ya mafuriko?Yanga hawana uwanja hata wa mazoezi, achilia mbali refa.
Ule wa pale ulishajaa maji ya mafuriko?
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]Vipi na Dr. Magufuli naye, ni njia ile ile?
Kama imefanyika ataitoa huyo daktari au jopo la madaktari waliofanya......kama kuna sampuli zimechukuliwa kwenda kwingineko itabidi wasubiri hayo majibu ili kukamilisha ripoti yao, sawasawa?Jikite kwenye hoja, hiyo postmortem report ataitoa nani?
Hata huyu aliyekuwa anakoholea mike Mungu akamtema na cheo juu
Hivyo havina majibu tena ukijitia kimbele wanakuweka sawa na wewe.Be smart,
Uchunguzi kujua Nani alimuwekea sumu,wapi,lini na kwa sababu gani?.....
Who benefits from his death?.Kumbe naye alikoswakoswa Kama Lisu na Mwakyembe na Kubenea.
Mkapa alivyonitoa serikalini nilimlaumu sana, lakini nikiangalia nyuma na kumkumbuka Dr. Fupi naona aliniokoa. Maana Mimi Nina kiherehere halafu siwezi kuwa YES man na kumtukuza mtu hasa nikijua namzidi elimu ama umri.
And to benefit what?.Nadhani swali gumu zaidi na ambalo halitajibika ni kama unayosema ni kweli..., ni nani alifanya hivyo ?