Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na heshima siyo mipombe sema pombe tafadhari.Mipombe alilewa
Mipombe alilewa
Hamna kitu cha kipuuzi kama mipombeKuwa na heshima siyo mipombe sema pombe tafadhari.
Mipombe sometime inatusaidia kuwafikisha kileleni hasa tukipiga hayo Ma Jack DanyoHamna kitu cha kipuuzi kama mipombe
Umeandika ujingaHamna kitu cha kipuuzi kama mipombe
One of the very stupid creatures!Ulevi si wa pombe tu.Ninyi mnaokula ugali kama mnahama au chai chupa nzima peke yako tuiteje?Halafu pombe ni gharama.Pombe ni hela si kwamba ni makalio kila mtu anayo.Kunywa na weye kama ni rahisi.Mipombe alilewa
One of the very stupid creatures!Ulevi si wa pombe tu.Ninyi mnaokula ugali kama mnahama au chai chupa nzima peke yako tuiteje?Halafu pombe ni gharama.Pombe ni hela si kwamba ni makalio kila mtu anayo.Kunywa na weye kama ni rahisi.
Jamaa wapuuzi kweli.Mifano yote hutolea pombe tu.Umalaya,uchawi,usengenyaji na kila hila hawasemi.Kichaka chao pombe tu.Wayaseme na maovu yao.Hopeless materials hao!Anadhalilisha ubunifu na watu JD inalipiwa kodi hiyo
Zilikufanya kitu gani?Hamna kitu cha kipuuzi kama mipombe
Usizitukane pombe aise zina mchango mkubwa sana katika kuendeleza taifa letu upande wa kodi, hata hivyo siyo kila kitu ni cha kila mtu.Hamna kitu cha kipuuzi kama mipombe
usidharau pombeMipombe alilewa
Doh gambe gambeko
Unajifanya bkri@ m@ri@Hamna kitu cha kipuuzi kama mipombe
Ja mtondoUnajifanya bkri@ m@ri@
Ova