Kifo cha . John. Paul I

Kifo cha . John. Paul I

Nimetoka Butiama nimekuja hapa Kiabakari. Kuna misa ya mkesha. Inahusu relics za mtakatifu John Paul II the Polish Pope. Padre anayeongoza misa ni Mpolish. Inaelekea hapa hapa kanisani zipo relics za John Paul II.
 
Rose, mimi Yericko Nyerere ni mtoto wa Nyerere lakini sio mtoto wa Julius Kambarage Nyerere,

Andrew Nyerere anaweza kuwa sahihi kwamaana ya mimi sio mtoto wa Julius, lakini anaweza asiwe sahihi kwakuwa mimi ni mtoto wa Nyerere lakini sio Julius Kambarage Nyerere

Umesahau ulivyokuwa ukitamba humu kuwa Nyerere ni baba'ko mzazi? mpaka ukawa unajidai "ntamuuliza" dada (ukitaja jina la mtoto wa kweli wa Nyerere? Umesahau uliposema ukienda nyumbani Msasani halafu butiama utaleta ushahidi wa ile video uliyoahidi?

Tukakushikia bango mpaka Andrew Nyerere akaja kuweka mambo sawa ndiyo toka hapo ukabadili nyimbo.

cc Ritz, THE BIG SHOW
 
Papa Francis nimesikia anataka kujiuzulu. Nimesikia siku ile nilioandika hii posting ,na ndio ilikuwa sababu ya kuituma hii posting. Kwa sababu kama Papa mwingine anataka kujiuzulu,inaweza kumaanisha kuna instability. Vatican. Navyofahamu mimi yupo . Kristu mwingine sasa hivi duniani. It is long past the time when. He should be teaching. Sijui anasubiri nini. Labda anasubiri kuiona. Vatican imefungwa. Maybe He does not want anyone to crucify Him or to heckle His speech. Kristu mwingine,siyo Yesu Kristu. Kristu wanakuja duniani kila baada ya miaka 2000 in different astrological signs. Yupo. Kristu sasa waiting in the wings,. Kristu wa 11. Baada ya miaka miaka 2000 atakuja mwingind wa mwisho for this cycle.
duuuuhh "" mkuu Palantir ndio napitia hapa " mabandiko ya huyu MTU "" aiseee...mbona dunia inatisha sasa " kama hali ndio iko Hivi ...
 
duuuuhh "" mkuu Palantir ndio napitia hapa " mabandiko ya huyu MTU "" aiseee...mbona dunia inatisha sasa " kama hali ndio iko Hivi ...
sijui kwanini nabaki kuamini ni UPS yake ndiyo ina tatizo!..
 
Back
Top Bottom