kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
Kwa sasa Green Star nalo wapo hoi vibaya.Waongoza kwa magari mabovu na kulaza abiria njiani.Kuna kipindi wanakosa hata gari la siku hiyo yoye wamejaa karakana kwa ubovu
Tatizo Yutong wanaendesha kama Scania 124L au 113
Pole yao.