Kwa sasa Green Star nalo wapo hoi vibaya.Waongoza kwa magari mabovu na kulaza abiria njiani.Kuna kipindi wanakosa hata gari la siku hiyo yoye wamejaa karakana kwa ubovu
Tatizo Yutong wanaendesha kama Scania 124L au 113
tumetoka mbaali eehWacha kuhusu parcels walikuwa wanatuma pesa pia. Dah long time ukipigiwa simu pesa imetumwa na ukapewa code number unaona hakukuchi ukachukua mpunga wako
outright theft, kaulize mabenki mangapi yameachiwa kilio na scandanavia, the guy just shifted the capital to other business and melted....
Hii kampuni unayoisifia ungejua yaliyokuwemo ndani usingetoa hizo sifa maana ulikuwa unapata huduma hiyo kutokana na kuvuja jasho lako, walikuwa wanajaza mafuta BP bila malipo kwa kusaini tu, walikuwa wanachukuwa spare scania kwa kusaini tu, walichukua mapesa benki za walalahoi kuendesha kampuni yao na ndio maana walikuwa na jeuri ya kusafirisha hata abiria kumi. wamiliki wa mabasi hayao walikuwepo na mawaziri pindi walipomaliza muda wao na baada ya mbio zao za kurudi tena kushindikana BP wakakamata mabasi na kupiga mnada, scania, benki nakifo kikawafika
Umesahau makampuni ya mafuta kama BP na wenzake!outright theft, kaulize mabenki mangapi yameachiwa kilio na scandanavia, the guy just shifted the capital to other business and melted....
Umesahau makampuni ya mafuta kama BP na wenzake!
bado Sumry na Mohammed Trans
Sumry wala hazina muda,mara wakaleta mbeya express nayo sasa hivi haina kitu,
sumry mbona ishajifia?
Naomba kuuliza kwa wale wenye data za usahihi Kufeli au kufilisika kwa mabasi ya scandinavia ktk muda mfupi tu...Jamaa alijitahidi mno, na kila ukifika ofisi zake unaona bora kuliko kwenda Ubungo...Mabasi mapya, leo mabasi yamechoka kama unakwenda Mtwara au Lindi? wenye data niwekeni sawa...
sumry ipo ila route zimepungua