KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 277
Ukipata mafanikio ktk umri mdogo inabidi uwe makini sana na pia nimejifunza ufreemanson sio mzuri.
ufreemason? hebu dadavua kdgo!
Kupitia Devil Kingdom movie yake alitufunza!
pale c alikuwa anaact tu, kwan action ina uhusiano gan na real life yake?
Tupeane pole kwa msiba huu wa mpendwa mwenzetu aliyetutoka,wakati huo sisi kama vijana tukiwa na maswali vichwani mwetu ambayo yanapaswa kujibiwa na sisi wenyewe mojawapo likiwa je mwenendo huu una staha na hatima ya maisha yangu? Nakumbuka kauli ya marehemu babu yangu aliwahi kuniambia,MJUKUU WANGU UNAPOONA UMEFIKIA WAKATI ULIO NA MAFANIKIO SANA KTK MAMBO YAKO KUWA MWANGALIFU SANA JUA KUWA MATATIZO MAKUBWA YANAKUNYEMELEA.Samahanini kama nitakuwa nimewakera ila kauli hii ya babu ya imebeba ujumbe juu ya kifo cha Kanumba na maisha ya wasanii wetu waliobakia.
Hapa funzo ni kuacha uzinzi hasa wale msiotaka kuoa na kufanya uchumba wa kudanganyana muda mrefu uaminifu hauwezi kuwepo km huna ndoa na mtu na isitoshe huna madaraka ya kumzuia asitembee na mtu mwingine kwakuwa bado anatafuta mzuri
Hapa funzo ni kuacha uzinzi hasa wale msiotaka kuoa na kufanya uchumba wa kudanganyana muda mrefu uaminifu hauwezi kuwepo km huna ndoa na mtu na isitoshe huna madaraka ya kumzuia asitembee na mtu mwingine kwakuwa bado anatafuta mzuri