KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 277
Tupeane pole kwa msiba huu wa mpendwa mwenzetu aliyetutoka,wakati huo sisi kama vijana tukiwa na maswali vichwani mwetu ambayo yanapaswa kujibiwa na sisi wenyewe mojawapo likiwa je mwenendo huu una staha na hatima ya maisha yangu? Nakumbuka kauli ya marehemu babu yangu aliwahi kuniambia,MJUKUU WANGU UNAPOONA UMEFIKIA WAKATI ULIO NA MAFANIKIO SANA KTK MAMBO YAKO KUWA MWANGALIFU SANA JUA KUWA MATATIZO MAKUBWA YANAKUNYEMELEA.Samahanini kama nitakuwa nimewakera ila kauli hii ya babu ya imebeba ujumbe juu ya kifo cha Kanumba na maisha ya wasanii wetu waliobakia.