Wanabodi,
Kwanza tuendelee kupeana pole kwa msiba wa mpendwa wetu Stephen Kanumba.
Leo nimeisikia taarifa ya awali ya polisi ikielezea mwili wa marehemu umekutwa na jeraha kichwani na kushikiliwa kwa binti Lulu mwenye umri wa miaka 18 kuisaidia polisi katika uchunguzi huo!. Taarifa ya daktari kuhusu kilichosababisha kifo bado haijatolewa!.
Hili ni jukwaa la jamii inteligence likijikita zaidi kwenye facts na sio hisia na hoja hapa sio kupeana pole za msiba wala kumtetea huyu binti Lulu ambaye anataka kibebeshwa msalaba wa kifo cha Kanumba kama mhusika mkuu wakati ukweli halisi kuna kila dalili zinazoonyesha Kifo cha Kanumba japo kimesababishwa na ajali ya kuanguka na kujigonga, kinaweza kuwa kimesababishwa na uzembe wa watu fulani na sio huyu binti Lulu!.(kwanza nilipost kule jamii inteligence ikagoma)
Hoja hii inafuatia maswali mengi bila majibu ya ni nini haswa kilichotokea hiyo jana!.
Wewe kama uu mmoja wa mashabiki wa Kanumba na mpaka sasa una uchungu mkubwa na kifo hiki, nakishauri usichangie uzi huu maana utakosa objectivity na impartiatility kutokana na huzuni.
Hoja za msingi ni hizi.
1. Ugomvi ulitokea saa 6 usiku na mpaka majirani walisikia kelele. Mwili umefikishwa hospitali ya Muhimbili saa 11 Alfajiri, nini kilitokea hapo kati?.
2. Mdogo wa marehemu aliyekuwa nyumbani wakati huo ameongea kwenye TV kuwa aliposikia ugomvi akaenda kutoka kuingilia mlango ukafungwa kwa ndani, akaendelea kusikia vishindo ambavyo na majirani walivisikia, what did he do?, au mlango ukishafungwa basi ni kujiachia tuu liwalo na liwe, hapa sio kuna uzembe fulani?!.
3. Baadae Lulu akaufungua mlango na kutoka kama alivyozaliwa na kumweleza huyo kijana Kanumba ameanguka hiyo ilikuwa ni around saa 6 usiku, huyo kijana ulikwenda chumbani na kumkuta Kanumba kama alivyozaliwa anagalagala chini huku povu likimtoka mdomoni, what did he do first?.
4. Anasema alimpigia simu daktari wake!. Hivi kweli unaitwa chumbani na kumuona mtu ameanguka anavuja damu anatapatapa, wewe utamtafuta kwanza daktari wake au kazi ya kwanza ni kumkimbiza mgonjwa hospitali ya karibu?. Pale kwa Kanumba mpaka hospitali ya Sinza Palestina ambayo ni 24/7 ni only 5 minites away!. Tukio limetokea saa 6 usiku mwili wapelekwa Muhimbili 11 alfajiri!. Kulitokea nini hapo?!. Hapo sio uzembe fulani huu?!.
5. Hivi ni kweli Kanumba alikuwa na daktari wake?. Jee alikuwa ana suffering something kiasi kwamba kuna daktari maalum ndio huwa anamhudumia hali iliyolazimisha lazima atafutwe huko aliko ndipo Kanumba apate huduma ya kwanza!. Kama tukio ni saa 6, daktari alipigiwa simu saa ngapi?, na alifika saa ngapi?, kumbukeni muda wote huo Kanumba anagalagala na kuvuja damu nyingi kumsubiria daktari wake afike?!. Huu sio uzembe fulani?.
6. Tunaelezwa daktari alipofika ndipo juhudi za kumkimbiza Muhimbili zikafuatia, huku kukipatikana tarifa za baadhi ya wasanii kufika hapo kwa Kanumba within minutes na wengine kukiri walimkuta mwili umeshaanza kuwa baridi, muda gani ulishapita toka tukio mpaka hao wasanii/majirani waliofika mwanzo and what did they do?!. Hapa kweli hakuna uzembe fulani?.
7. Tumeonyeshwa picha na TBC zikionyesha umati mkubwa wa wasanii ukiandamana kuupeleka mwili Muhimbili, ikumbukwe wakati tukio alikuwa kama alivyozaliwa ila mwili ulionekana umevishwa, hivyo emergence ya aina ile mgonjwa huwa anafunikwa tuu shuka na kuwahishwa hospitali, kupatikana muda mpaka kumvisha huu sio uzembe fulani?!.
8. Kama tukio ni la dharura tulitegemea watu wa kwanza ni majirani iweje wasanii wajazane kivile usiku huo mpaka na waandishi wa TBC?. Haiwezekani baada ya kutokea ajali hiyo ya kuanguka, badala ya kumpatia mgonjwa huduma ya kwanza ya kujaribu kuokoa maisha ya Kanumba, watu walikuwa bize kuwatafuta masuper star na waandishi wawahi tukio lile huku wengine wakiendelea kuhangaikia kuupiga picha mwili wa Kanumba licha ya kujua tayari ni dead body?!.
9. Kama hao waliofika wakanshika na kuona mwili umeanza baridi, ni muda gani daktari alifika?. Ni muda gani walijua Kanumba ameshafariki?, kama alifia nyumbani hawakujua hiyo sasa at that poit ni police case badala ya kuitana makundi ya wasanii na kuidramatise scene ya kifo cha Kanumba?!.
10. Mwisho kwa sababu ripoti ya daktari kutaja chanzo cha kifo haijatoka, naombeni tusimbebeshe mtoto Lulu msalaba wa kifo cha Kanumba!. Inawezekana ni Kanumba mwenyewe aliteleza, na hata kama ni kweli alimsukuma, kama alimsukuma in self defence, Lulu hana hatia yoyote kwa sababu kifo kitakuwa kimetokea kwa bahati mbaya bila kusudio la kutenda jinai ya mauaji!.
RIP SK The Great
Pasco.
Ulicho kisema hapo juuu je Uchunguzi ulifanyika/ulifanywa kwa mtiririko huuuu hapo chini???
A. Unconscious Victim
1. At scene - If victim unconscious on arrival at scene,
MAKE SURE THAT A POLICE OFFICER REMAINS WITH VICTIM AT ALL TIMES, INCLUDING TRIP TO HOSPITAL SO THAT ANY DYING DECLARATIONS MADE DURING CONSCIOUS PERIODS CAN BE NOTED.
2. At Hospital - Upon arrival at hospital alert medical personnel to possibility of dying declarations. Request them to note same if made during operative period.
3. Notification - Request to be notified if victim regains consciousness so that you will be present when any dying declarations made.
B. Removal of Victim from Scene
1. Before removal
a. If possible, photograph victim's position at scene before removal.
b. If time and circumstance do not permit photos before victim is removed
carefully note the position of the victim in your report.
D. Obtain physical evidence from victim
a. Officer accompanying victim to hospital should collect victim's clothing and personal effects as they become available.
b. Officer receiving items should carefully note time received and the identity of person from whom items were received.
c. If Necessary for identification items handled by physicians, nurses should be marked by those persons and the chain of custody noted. This is particularly important with items such as bullets, etc. Medical personnel should not attempt to identify caliber or types of firearms used.
NOTE: - A failure to follow up on collecting items that left the crime scene with the victim may cause their loss or render them useless as evidence.
C. Notify command of situation
1. Notify command of your agency, REQUEST ASSISTANCE.
2. Notify or request notification of DA representative (Only for legal questions, do
not allow a lawyer to get involved in the actual investigation. Their training limits them to the providing advise on legal issues only).
3. Notify or request notification of medical examiner.
D. Secure Scene
1. Block or rope off scene (ABigger is better").
2. Persons at Scene
a. Clear unauthorized person from the scene. NOTE: You cannot worry about hurting someone's feelings. If they do not belong tell them to leave. This must include any unauthorized police command.
b. Prevent anyone from touching the body or disturbing anything pending the arrival of the medical examiner, identification personnel,and investigative officers.
c. Witnesses1. Note name and address of persons present.
2. Obtain brief statement from each person present.
3. Hold witnesses until arrival of investigators.
4. Keep Witnesses separate to prevent conversation.
3. Prevent Destruction of fragile evidence such as footprints, tire tracks, etc.
E. Process Scene
CAUTION - Be aware that there are search and seizure problems in this area. If in doubt you may wish to contact your DA regarding a warrant or other advise.
NOTE: - At night - Obtain adequate lighting before scene processing commences. Artificial lighting used must be adequate for photography and for minute detail search for items such as hair, cartridge cases, etc.
WHEN LIGHTING NOT AVAILABLE - secure scene under guard and wait for daylight before processing is commenced.
F. Identification Personnel (Technical Investigators)
1. Note time of arrival
2. Note weather conditions, especially at outside crime scenes.
3. Check perimeter of scene to insure that all of scene is secured.
4. Obtain summary of situation from officer in charge.
5. Photograph scene
a. Photograph scene
1. Take color photographs of the scene from all angles. Work
from the perimeter to center.
2. Include photographs of entrance, exit routes to scene.
REMEMBER - There is no such thing as too many photographs of a crime scene.3. Make sure that all possible locations relevant to scene are photographed. Particularly important that all rooms at scene are photographed.
REMEMBER - Something may have happened in an adjoining room that will be of critical importance as the investigation develops.
4. Photograph specific items of evidence such as footprints, cartridge cases, weapons, etc. as observed in place at scene. Where scale is important (footprints, tire tracks use ruler scale to show size).
5. Overhead photographs
a. Should be taken of outdoor scenes, including streets, intersections. These can be invaluable in constructing scale representation of scene.
b. Extension ladders, power company and fire trucks should be utilized for this purpose.
6. Video tapea. Video tape recordings should be made of scene where possible.
b. Include video tape shots of collecting evidence, examining victim at scene.
c. Also video tape defendant, witnesses.
7. Photograph victim at scenea. Color photographs should be taken of deceased from all angles.
b. Photograph deceased as items are removed from body, identification, clothing, etc.
c. Photograph substances on body and clothing of deceased such as blood, seminal fluid, powder residue, etc. These should include full length and close-ups.
d. Photograph wounds, injuries - include close-ups. This should be done step by step as body examined, disrobed by medical examiner at scene.
8. Make careful note of following:a. Position of body
b. Position, condition of clothing
c. Location of substances on deceased and his clothing
d. Any alteration of deceased's position before your arrival as determined from witnesses or officers.
9. Survey Scenea. Take careful measurements of the scene. Measure each room in a house (NOTE: it is very hard to return later to a scene if you do not have a warrant).
b. Use a reference point that is permanent.
10. Search of Scene
A. Deceaseda. Before removing examine deceased for physical evidence (Example: loose hairs, fibers, etc.)
b. Place deceased on a cloth sheet, move body shortest possible distance.
c. Examine the ground underneath the victim
d. Examine deceased for additional physical evidence that may become visible after movement.
e. Collect physical evidence from deceased to include personal effects, clothing, shoes, weapons, etc.
B. Scene areaa. Organize scene search by adopting specific plan, assign tasks,areas of search to individual officers.
b. Assign ONE officer to collect, mark and transport items found.
c. Execute search by carefully following plan of assigned tasks.
d. Note, mark and photograph location of objects found such as latent fingerprints, footprints, tire tracks, tool marks, hair, fragments of cloth, buttons, cigarette butts, cartridge cases, bullet holes, bullets, bloodstains, etc.
e. Collect, mark evidence.
REMEMBER - When collecting evidence DO NOT overlook such items as room furniture, doors, etc. that can be used to reconstruct crime scene in court.
f. Preserve items of evidence individually.i. Do not place separate items of evidence in same container. (Example: mixing items of clothing in one bag can compromise evidence such as head or pubic hair when the location of such items on a particular garment is critical.
ii. Use correct container - molded plastic container for blood. Paper bindle for hair or fiber. Paper bag for bloody items. Never put evidence that may decompose or deteriorate into a plastic bag.
iii. Provide information to lab personnel concerning source of item, what test you desire performed. Make contact with the lab personnel and give a brief account of what your investigation shows.
11. Process DefendantA. Photograph Defendant
a. Show any injuries or lack of injuries
b. Show his clothing and general appearance
c. Show hands (both sides)
d. Show any tattoos or scars
B. Take any evidence that you are entitled toa. Pubic combing if a rape case
b. Any item that is on the clothing and could be lost
c. Obtain warrant for blood and hair samples
12. Autopsy Processinga. Arrange through the medical examiner the transportation of the victim to morgue.
b. Medical Examiner investigator or police officer should be present during the autopsy
c. If possible before autopsy take finger and palm prints of deceased. If not then once the autopsy is completed get the prints.
d. Pick up any evidence that was obtained during the autopsy (blood samples, hair samples, fingernail scrapings, bullets)
NOTE: Place each item in a separate container. Paper bags are best. Each container should be marked, dated and initialed.
13. Investigative Personnela. Obtain summary of situation from officer at scene.
b. Check scene security and take steps necessary to correct and errors or omissions, if any.
c. Review all actions of officers on the scene
d. Initiate Investigation from the beginning
e. Determine identity of deceased
1. Identification on person of deceased
2. Relatives
3. Witnesses
4. Fingerprints
f. Attempt to reconstruct events at crime scene by use of the following:
1. Position of body
2. Number, location of wounds
3. Trajectory of bullets
4. Bloodstains, substances
5. Other signs of violence
6. Other physical evidence at scene