Kifo cha Kanumba: Ni uzembe tu? Sio Lulu!

Mapema mno kumuingiza au kumta huyo Lulu kwani yeye na marehemu ndio waliokuwa ndani mpaka marehemu anakutwa na mdogo wake akitokwa mapovu mdomoni (umauti ukianza kumkaribia)Ikumbukwe kuna tahruki hapo msiwe kama hawa jayakuta na kama bado msiombe mumkute wenu akiwa kwenye hiyo hali ya umati (Hatua moja ngumu sana wewe muombe mungu aitoe roho yako kwa upole sana)kwa waislam semeni amini mliobakia sijui msemaje?
Mada..kifo ni kama vifo vingine vitatafuta sababu na wakati ukikaribia hamna jinsi.Hatujuani kamakweli sisi ni wazima au la wengine wanahisi ni wazima wa afya kumbe hamna kitu binadamu tuko kama hewa ikipuliza inakwenda zake na kuja nyengine kuumwa na kupona ni mipango ya mungu

Nakuachia swali wewe uliebahatika kusoma nilichoandika,Wanaokaa karibu na hospitali hawafi kwa ajali au kuumwa?
 
Pasco,

Kwa kweli umefanya uchambuzi mzuri wa kina,lakini sisi ni binadamu na linapotokea jambo kama hilo huwa linatengeneza kitu kinachoitwa panic especially kwa wale watu walioko karibu na muhusika,hebu tujiulize what is panic? Kwa ufupi Panic is a sudden sensation of fear which is so strong as to dominate or prevent
reason and logical thinking, hivyo unapopata kitu kinachoitwa panic inakua ngumu sana kufanya maamuzi ya busara,mtu labda kasukumwa kaanguka chini povu linamtoka kawa baridi lazima panic itokee,hatuna huakika kama alifariki palepale au baadae unless doctor awe amethibitisha.Kutokana na hiyo panic mie naweza kusema hayo maamuzi mazuri ambayo umeyachambua hapo hayakuweza kufanyika,watu wengine mtu anaangua anazimia anampigia baba mama au mke wa muhusika badala ya kumkimbiza hospitalini,kwa kweli vitu namna hiyo vinatokea,mtu ambaye angeweza kutoa ushauri mzuri ni huyo doctor wake lakini labda na huyo doctor naye binadamu labda alikumbwa na hili gonjwa panic.
 
Mbu hivi kweli kabisa niambie relevance ya hiLi hitaji la PF3 form...

...ni urasimu tu, pengine na utoe chochote wakuandikie fasta...


....au kila hospitali iwe na police office kuratibu hizo PF3....

hata mahakama ikisema hana hatia..mtoto huyu kwa jamii hachomoki...ameishapatiwa a.k.a yake as 'serial killer'

...khaa, kiongozi...'serial' tena? Hapana bana...hi ni kesi ya awali...

huyu mdogo wake Kanumba nani kamruhusu kutoa maelezo na lawama? kwa nini ajitoe ilihali alikuwa nyumbani? kwa nini polisi walimuacha an hawakuondoka naye?

....kawaida ya mambo haya, ushahidi muhimu upande wa prosecutors wa kesi hii ushaharibika...
defence lawyer mzuri kwenye cross examination anauwezo mkubwa sana sasa kuipangua evidence ya
prime witness...
 
Waberoya, hapa umeongeza chimvi kidogo. Killer? YES, but a Serial Killer? Mhhh, kwani Kanumba ni wa pili, tatu, ......?

a.k.a zinazotolewa na waswahili zina maana nyingi sana mkuu

'eti' wanasema bado ray

wengine wanasema ametumiwa na freemason

wengine wanasema ametumiwa na UWT kwa sababu kanumba alisema atagombea ubunge kwa tiketi ya chadema shinyanga mjini

wengine wanasema kale ka-ugonjwa ndiko kanapelekea apewe hiyo aka


sio mimi mkuu ndio wanavyosema......atapewa a.k.as nyingi mno!!
 
Watunga sheria hawajali maana wao huwa wanatibiwa wakisema tu "Mimi mbunge" hawaoni umuhimu wa kusawazisha sheria

Sijui mantiki gani inayotusukuma watanzani kutaka PF3 kwanza kabla ya tiba....

Sisi si wazima kichwani
Umegandisha mno mawazo yako. kama mgonjwa ana hali mbaya anapokelewa Hospitali, PF-3 inafuata baadae baada ya taarifa kufika polisi. kwa kukusidia,ukiona mtu yupo serious,wengine wanampleka Hospitali na wengine wanakwenda Polisi.
 

I read you mkuu....We are what we live.The girl has been looking for trouble for a very long time and i definitely think that this time she has hit the jackpot.
 
Ok,
so wangemuua kwasababu na yeye kaua?

....ahhh, mob justice ya kibongo, wangem skin alive yule binti....na alivyo na
'bahati' mbaya, nani angemsikiza her side of story?

Amepata ushauri mzuri kutosema/kutotoa ushahidi wowote bila wakili wake, halafu
wabongo wengi hatujui umuhimu wa hili...

Mdogo wake Kanumba 'District attorney office' au police wangemu warn asiropokwe
kuepusha kuharibu ushahidi...
mfano; anasema walikuwa anawasikia tu wakigombana, hakuwaona! Iweje a speculate
Lulu alimsukuma?

kwa mtazamo wangu, Lulu bado innocent until proven guilty, considering her physique compared
na Mar SK.
 
Pasco kwa kuwa umeonyesha 'upendo' kwa Lulu kuwa aachiwe huru..ili bandiko la Kitalolo kwenye thread nyingine inaweza kumtoa Lulu...kumbe marehemu alikuwa na kesi nyingi tu za kupiga wanawake!!

akishinda kesi mwambie awe anarudi nyumbani saa kumi jioni!!! mpaka atakapokuja kuchumbiwa, kutolewa mahari na kuagwa kwa sendoff...ndivyo mabinti wa kiafrika wanavyotakiwa kuishi!!



 

Mkuu Pasco naamini kabisa ni wewe ndio unaandika haya kwa hisia za kuona LULU anaonewa badala ya kuangalia sheria inataka nini
Unaposema "ukweli utamuweka huru", what if ukweli wenyewe kama ni walikuwa wanapigana akamsukuma akaangukia kichwa, is this will set her free?

Maana unasema as if huo ukweli wa kumuweka huru wewe unaujua...................
 
Umegandisha mno mawazo yako. kama mgonjwa ana hali mbaya anapokelewa Hospitali, PF-3 inafuata baadae baada ya taarifa kufika polisi. kwa kukusidia,ukiona mtu yupo serious,wengine wanampleka Hospitali na wengine wanakwenda Polisi.

Wengine wende polisi wengine hospitali, kwani kila anaefikwa na tatizo kunakuwa na watu wengine?
Mbona tunatakiwa kuishi maisha ya kijima hivi? Kuwa mimi lazima mambo yangu ayajue jirani?

Watanzania mnachosha
 

mkuu ni hivi

binti ana miaka 18 tu!

alitakiwa muda huo na saa hiyo awe kwao ndani!! asubiri posa, na sendoff ndio aende kwa mumewe!

ni heri yako umesema haumjui...but believe me...kwa wasanii wa kike wengi wanasema 'AFADHALI' ...kakome...kamezoea.....sasa mwisho wake......wengine wanafanya furaha

mama yake alikashindwa haka katoto

the girl started this long ago....kuna wabunge wetu wamezama pale wengi tu...hawa vijana vijana...ninaposema vijana vijana sija refer Malima tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…