Kifo cha kijana kwenye ujana

Jeuri ya vijana

New Member
Joined
May 8, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Ugumu wa maisha unasababishwa na baadhi ya vijana ambao wameamua kuwa ronyaronya. Vijana wanakuwa machawa. Hawana uwezo wa kufikiri kufanya masuala ya msingi. Vijana aliyosema Mwl Nyerere wako wapi sasa hivi?

Hili ni janga kubwa la taifa. Tutakosa watu wa kufanya maamuzi ndani ya nchi yetu.
 
Umesha wai kufikiri kwanini Wana amua kuwa machawa lakini .??🙁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…