Kifo cha Magufuli kilileta udumavu mkubwa wa kifikra ambao ni hatari kwa Taifa. Watanzania tubadilike

Kifo cha Magufuli kilileta udumavu mkubwa wa kifikra ambao ni hatari kwa Taifa. Watanzania tubadilike

Kwa taarifa yako,msingi mkuu inayotembelea serikali ya ssh umewekwa na jpm,kila kitu unachokiona kinafanyika kwenye awamu ya sita,msingi kaweka jpm, ukiona mama kabeba kikapu kimejaa ngano,ujue aliyelima shamba ni jpm,
labda msingi wa kiuno
 
Habari JF,

Inasikitisha sana kwa sana kuona Watanzania tumegawanyika na huu mgawanyiko umekaa kishabiki kiasi kwamba hata wale waliokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri huo uwezo haupo tena.

Kwa sasa ni dhahiri tumegawanyika makundi matatu kama ifuatavyo:

1. Wafuasi wa Awamu ya Tano (JPM), hawa wenyewe ni hawataki kusikia mabaya ya Awamu ya tano na hawaoni mazuri ya Awamu ya sita, kifupi kila linalofanywa ni baya.

2. Wafuasi wa Awamu ya Sita, hawa wanapenda kusikia mabaya ya Awamu ya Tano mabaya tu na kila linalofanywa na Awamu ya Sita ni zuri.

3. Kundi la tatu ni wale ambao wako bize na maisha, hawafuatilii masuala ya siasa. Yoyote atakaekuwepo ni sawa tu

MADHARA

Ni kwa wananchi tumekuwa mashabiki wa wanasiasa, maisha mtaani magumu, tunakopa pesa nyingi pamoja na misaada, kodi na tozo nyingi na mambo mengine mengi yanaendelea lakini watu akili kufikri zimekomea Ushabiki wa Awamu ya Tano na Sita kitu ambacho ni hatari kwa Taifa.

Mikutano ya siasa imeruhusiwa lakini hakuna cha maana, zaidi ya ushabiki huo na person attacks tu.

Kuna haja huu ufuasi kuisha sababu;

1. Tukitumia nguvu kubwa sana kumprove wrong Hayati yanaweza fanyika maamuzi mengi ambayo sahihi sababu tu kufurahisha sehemu ya wananchi.

2. Taifa linakosa fikra mbadala hivyo tabia hii haina budi kuisha.

Siasa na propaganda havitengamani hivyo Tuhuma bila Ushahidi ni Uzushi, tujiunge na kundi la 3.
Tatizo la hii nchi ni Elimu tu.
 
Ni ubunifu unaweza kujenga nyumba nzuri tena bila kuathiri lishe ya familia.unasema mira mikubwa pesa hakuna lakini ukikaa hivi unasikia bilioni 40 zimepigwa pale mara mkandarasi amelipwa hela bila kufanya kazi halafu unakuja hapa kusema hamna hela
Na sisi tunabaki kuwa mashabiki wa wapigaji
 
Nipo kundi namba tatu hapo. Mfano leo sijalala nawaza mke wangu mjazito anatakiwa kwenda kliniki na sina mchongo wa kupata hata sh 5 mbovu.
Sasa nini kinakupotezeaga muda kiasi cha kushindwa kujua kesho yako kunakuchaje wakati upo bize na mitikasi yako kiasi cha kutojihangaisha na siasa?
 
Watanzania wanataka kiongozi anae tambua hali zao nakuwapunguzia mzigo wa maisha mabegani mwao....hawataki mbambamba....

Basic needs za human being ni malazi,chakula na mavazi

Awamu ya tano waliwatambua wanyonge nakuwapa fursa za kibiashara nakuweza kukizi mahitaji yao ya muhimu kirahisi...

Umeme ulikuwa haukatiki hovyo..

Miradi ya maji,barabara etc

Sasa hv imekuwa kinyume wanyonge hawafanyi biashara kwa amani wengine kufukuzwa..umeme unakatika hovyo halafu unataka watu wasifie ili iweje si utaonekana chizi
 
Mada hii ni moja ya muendelezo wa kudumaza Mwafrika kifikra. Ni mada hasi na iliyojengwa kuweka kitisho na kutoa tahadhari kuwa, ukikemea maovu ya mzungu, utaangamia.
Katika maisha yangi sijawahi kuona kitu kama hichi. Ni hatari sana.
Mada hii
imeanzishwa na vibaraka wa mabeberu toka karne ya 18
Mwaka huo Wazungu wa Ulaya na wale waliodhalimu na kuteka Amerika ya kaskazini kwa mabavu....
na...Wana Ulaya wenzao, katika kile kilichoitwa nguvu ya kiroho ya kugawanya na kutawala , walipendekeza mkutano waliouita wa kidunia.
Pendekezo hilo la mkutano kati yao ulikuja kufanyika Uingereza mwaka 1910 mjini Edinburgh..
Ni moja ya mikutano lukuki ambayo ililenga kuendeleza ubeberu na kuhakikisha ukoloni mamboleo katika Jamii, Siasa, na Uchumi wa binadamu yeyote asiye na uasili wa Ulaya, hususani fikra na mawazo yao.

...mikutano mingine ilifanyika EXETER Hall

Popote ulipo, jitosheleze na Taarifa za Ulimwengu huu ili usije potoshwa, dumazwa na kutishwa na mlolongo mrefu wa propaganda za kidhalimu kama inavyosomeka katika mada hii.
Kuna ya kujifunza kuhusu hawa watu wa Afrika....
Eyo Honesty the second, King of Creek town.
Samuel Adjai Crowther. Bishop of Nigeria.
Thomas Sankara.
What do they have in common?
 
Huu upuuzi unaoendelea hapa nchini ni matokeo ya siasa za kishenzi za dhalimu wa awamu ya tano. Machafuko au mapinduzi ndio yatarejesha nchi hii katika mstari sahihi.
Muda mrefu nimekuwa nikipotoka kwa kudhania wewe ni mwanaume.
 
Habari JF,

Inasikitisha sana kwa sana kuona Watanzania tumegawanyika na huu mgawanyiko umekaa kishabiki kiasi kwamba hata wale waliokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri huo uwezo haupo tena.

Kwa sasa ni dhahiri tumegawanyika makundi matatu kama ifuatavyo:

1. Wafuasi wa Awamu ya Tano (JPM), hawa wenyewe ni hawataki kusikia mabaya ya Awamu ya tano na hawaoni mazuri ya Awamu ya sita, kifupi kila linalofanywa ni baya.

2. Wafuasi wa Awamu ya Sita, hawa wanapenda kusikia mabaya ya Awamu ya Tano mabaya tu na kila linalofanywa na Awamu ya Sita ni zuri.

3. Kundi la tatu ni wale ambao wako bize na maisha, hawafuatilii masuala ya siasa. Yoyote atakaekuwepo ni sawa tu

MADHARA

Ni kwa wananchi tumekuwa mashabiki wa wanasiasa, maisha mtaani magumu, tunakopa pesa nyingi pamoja na misaada, kodi na tozo nyingi na mambo mengine mengi yanaendelea lakini watu akili kufikri zimekomea Ushabiki wa Awamu ya Tano na Sita kitu ambacho ni hatari kwa Taifa.

Mikutano ya siasa imeruhusiwa lakini hakuna cha maana, zaidi ya ushabiki huo na person attacks tu.

Kuna haja huu ufuasi kuisha sababu;

1. Tukitumia nguvu kubwa sana kumprove wrong Hayati yanaweza fanyika maamuzi mengi ambayo sahihi sababu tu kufurahisha sehemu ya wananchi.

2. Taifa linakosa fikra mbadala hivyo tabia hii haina budi kuisha.

Siasa na propaganda havitengamani hivyo Tuhuma bila Ushahidi ni Uzushi, tujiunge na kundi la 3.
You are very wrong my friend RNA.

Inavyoelekea wewe hata hujui mfumo wa maisha ya hapa duniani..

Aina ya maisha unayoyataka watu waishi hayapo hapa. Ni ya kufikirika na yako huko mbinguni kusikokuwapo na kula wala kunywa..

Maisha na fikra za watu hapa duniani haziwezi kuwa ktk mfumo wa uniform kama za watoto wa shule au wafanyakazi wa hotel au wale wa bar ya Mzee Mangi pale Sinza madukani..

Nani atam - prove mwingine wrong iwapo wote tutakuwa tuna fikra zinazofanana..???

Burudani na utamu wa maisha unapaswa kujengwa ktk msingi wa mgongano wa kifikra na mitizamo juu ya kila jambo..

Ukijaribu kupingana na mfumo huu wa kiasili wa maisha utaishia kufa kifo cha ajabu a.k.a "kifo kibudu" kama cha yule ndugu yenu aliyekufa mdomo wazi yaani John P. Magufuli tu..!!

Let's life go that way because life is a personalized struggle. MAISHA NI AKILI BILA KUSAHAU TERMS & CONDITIONS za kuzingatia..
 
Kifo chake lilikuwa jambo jema sana kwa Taifa letu kwani vinginevyo tuendako tungekuwa kama Sudan ya leo hii,imagine jitu fascist kama lile kuondoka madarakani bila hata tone la damu kumwagika,hakika Mungu alitupa upendeleo wa kipekee.
 
Nipo kundi namba tatu hapo. Mfano leo sijalala nawaza mke wangu mjazito anatakiwa kwenda kliniki na sina mchongo wa kupata hata sh 5 mbovu.
Na ujiandae.... Nunua vifaa vya Mkeo kujifungua mapema.... Hakuna dezodezo😇😁🙊
 
Tukitumia nguvu kubwa sana kumprove wrong Hayati yanaweza fanyika maamuzi mengi ambayo sahihi sababu tu kufurahisha sehemu ya wananchi.
Hata yeye na genge lake walitumia nguvu sana kuwaona watangulizi wao kuwa si kitu, Wenye mawazo tofauti tukaonekana Na kuitwa Vibaraka wa Wazungu, leo Iko wapi?!

As a nation, lazima tujifunze kutenganisha siasa na MTU, tumeingia kwenye shida kubwa kama Taifa kwakua tunaongozwa na utashi WA MTU
 
Hayo ni maoni yako, yataheshimiwa. Nikuondoe wasiwasi, hakuna kitu kama mgawanyiko Tanzania. Hakuna!

Hayo ni Makundi ya hapa Jamvini tu. Sio Nchini.
Msitugawe!


Hayo maoni yako tu. Ambayo yana ukweli fulani ndani yake. Walakin sidhani kama unauelewa na watu wa Tanzania, ambako Siasa ni 100% of the time...nenda Kenya uulize, nenda Uganda uulize, nenda Rwanda uulize, nenda Zimbabwe uulize, nenda South Afrika uulize Ethiopia, Ghana Congo....the list goes on bwana na jibu watalokupatia ni kuwa

Tunalumbana kisiasa bila vurugu za aina yeyote kwa sababu Fikra zetu zimejizatiti katika Utu, Umoja na Amani...Misingi yetu ipo imara na ngao yetu ni Imara,
Hao jamaa huwa wanabaki na mshangao kila wakisikia dhoruba tunazopata na kuzipita!
RNA wewe unatishia Watanzania kwa kutaka kuaminisha tunapoteza umoja kwa sababu zisizo na miguu wala kichwa!

Usibabaishwe na Siasa za hapa mtandaoni.


Ukweli mtupu hapo. Vyama vingine havina sera zinazoeleweka au wanashindwa kuziuza! Uko sahihi

Hao wachache wameshadhibitiwa, hawana lao Tanzania.


Fikra ipo moja tu. Umoja na Amani, na ni ndio ngao yetu kubwa!

Hilo kundi la tatu, ni la woga tu. Usitetereke

Lakini...
Ujikomboe na ...

Mabeberu na Vibaraka wake

Beberu ni Beberu na atapigwa vita milele Tanzania na Afrika yote.

Alichokifanya Magufuli kitaendelea kudumishwa. Wapende Wasipende

Magulification must go on.
Hayo ni yangu!
Hatuwezi kudumisha hofu na mauwaji ndani ya taifa hili ,never ever.
 
Back
Top Bottom