Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
labda msingi wa kiunoKwa taarifa yako,msingi mkuu inayotembelea serikali ya ssh umewekwa na jpm,kila kitu unachokiona kinafanyika kwenye awamu ya sita,msingi kaweka jpm, ukiona mama kabeba kikapu kimejaa ngano,ujue aliyelima shamba ni jpm,
Tatizo la hii nchi ni Elimu tu.Habari JF,
Inasikitisha sana kwa sana kuona Watanzania tumegawanyika na huu mgawanyiko umekaa kishabiki kiasi kwamba hata wale waliokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri huo uwezo haupo tena.
Kwa sasa ni dhahiri tumegawanyika makundi matatu kama ifuatavyo:
1. Wafuasi wa Awamu ya Tano (JPM), hawa wenyewe ni hawataki kusikia mabaya ya Awamu ya tano na hawaoni mazuri ya Awamu ya sita, kifupi kila linalofanywa ni baya.
2. Wafuasi wa Awamu ya Sita, hawa wanapenda kusikia mabaya ya Awamu ya Tano mabaya tu na kila linalofanywa na Awamu ya Sita ni zuri.
3. Kundi la tatu ni wale ambao wako bize na maisha, hawafuatilii masuala ya siasa. Yoyote atakaekuwepo ni sawa tu
MADHARA
Ni kwa wananchi tumekuwa mashabiki wa wanasiasa, maisha mtaani magumu, tunakopa pesa nyingi pamoja na misaada, kodi na tozo nyingi na mambo mengine mengi yanaendelea lakini watu akili kufikri zimekomea Ushabiki wa Awamu ya Tano na Sita kitu ambacho ni hatari kwa Taifa.
Mikutano ya siasa imeruhusiwa lakini hakuna cha maana, zaidi ya ushabiki huo na person attacks tu.
Kuna haja huu ufuasi kuisha sababu;
1. Tukitumia nguvu kubwa sana kumprove wrong Hayati yanaweza fanyika maamuzi mengi ambayo sahihi sababu tu kufurahisha sehemu ya wananchi.
2. Taifa linakosa fikra mbadala hivyo tabia hii haina budi kuisha.
Siasa na propaganda havitengamani hivyo Tuhuma bila Ushahidi ni Uzushi, tujiunge na kundi la 3.
Na sisi tunabaki kuwa mashabiki wa wapigajiNi ubunifu unaweza kujenga nyumba nzuri tena bila kuathiri lishe ya familia.unasema mira mikubwa pesa hakuna lakini ukikaa hivi unasikia bilioni 40 zimepigwa pale mara mkandarasi amelipwa hela bila kufanya kazi halafu unakuja hapa kusema hamna hela
Sasa nini kinakupotezeaga muda kiasi cha kushindwa kujua kesho yako kunakuchaje wakati upo bize na mitikasi yako kiasi cha kutojihangaisha na siasa?Nipo kundi namba tatu hapo. Mfano leo sijalala nawaza mke wangu mjazito anatakiwa kwenda kliniki na sina mchongo wa kupata hata sh 5 mbovu.
Muda mrefu nimekuwa nikipotoka kwa kudhania wewe ni mwanaume.Huu upuuzi unaoendelea hapa nchini ni matokeo ya siasa za kishenzi za dhalimu wa awamu ya tano. Machafuko au mapinduzi ndio yatarejesha nchi hii katika mstari sahihi.
You are very wrong my friend RNA.Habari JF,
Inasikitisha sana kwa sana kuona Watanzania tumegawanyika na huu mgawanyiko umekaa kishabiki kiasi kwamba hata wale waliokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri huo uwezo haupo tena.
Kwa sasa ni dhahiri tumegawanyika makundi matatu kama ifuatavyo:
1. Wafuasi wa Awamu ya Tano (JPM), hawa wenyewe ni hawataki kusikia mabaya ya Awamu ya tano na hawaoni mazuri ya Awamu ya sita, kifupi kila linalofanywa ni baya.
2. Wafuasi wa Awamu ya Sita, hawa wanapenda kusikia mabaya ya Awamu ya Tano mabaya tu na kila linalofanywa na Awamu ya Sita ni zuri.
3. Kundi la tatu ni wale ambao wako bize na maisha, hawafuatilii masuala ya siasa. Yoyote atakaekuwepo ni sawa tu
MADHARA
Ni kwa wananchi tumekuwa mashabiki wa wanasiasa, maisha mtaani magumu, tunakopa pesa nyingi pamoja na misaada, kodi na tozo nyingi na mambo mengine mengi yanaendelea lakini watu akili kufikri zimekomea Ushabiki wa Awamu ya Tano na Sita kitu ambacho ni hatari kwa Taifa.
Mikutano ya siasa imeruhusiwa lakini hakuna cha maana, zaidi ya ushabiki huo na person attacks tu.
Kuna haja huu ufuasi kuisha sababu;
1. Tukitumia nguvu kubwa sana kumprove wrong Hayati yanaweza fanyika maamuzi mengi ambayo sahihi sababu tu kufurahisha sehemu ya wananchi.
2. Taifa linakosa fikra mbadala hivyo tabia hii haina budi kuisha.
Siasa na propaganda havitengamani hivyo Tuhuma bila Ushahidi ni Uzushi, tujiunge na kundi la 3.
Muda mrefu nimekuwa nikipotoka kwa kudhania wewe ni mwanaume.
Yupo Kigamboni anakusalimia sana,na kasema bado anakupenda sana!!Ukiona mtu anasemwa vibaya akishaaga dunia elewa kuwa alikuwa ni mbaya kweli.
Hivi Makonda yuko wapi?
Mbona hasikiki siku hizi?Yupo Kigamboni anakusalimia sana,na kasema bado anakupenda sana!!
Na ujiandae.... Nunua vifaa vya Mkeo kujifungua mapema.... Hakuna dezodezo😇😁🙊Nipo kundi namba tatu hapo. Mfano leo sijalala nawaza mke wangu mjazito anatakiwa kwenda kliniki na sina mchongo wa kupata hata sh 5 mbovu.
Hata yeye na genge lake walitumia nguvu sana kuwaona watangulizi wao kuwa si kitu, Wenye mawazo tofauti tukaonekana Na kuitwa Vibaraka wa Wazungu, leo Iko wapi?!Tukitumia nguvu kubwa sana kumprove wrong Hayati yanaweza fanyika maamuzi mengi ambayo sahihi sababu tu kufurahisha sehemu ya wananchi.
Hatuwezi kudumisha hofu na mauwaji ndani ya taifa hili ,never ever.Hayo ni maoni yako, yataheshimiwa. Nikuondoe wasiwasi, hakuna kitu kama mgawanyiko Tanzania. Hakuna!
Hayo ni Makundi ya hapa Jamvini tu. Sio Nchini.
Msitugawe!
Hayo maoni yako tu. Ambayo yana ukweli fulani ndani yake. Walakin sidhani kama unauelewa na watu wa Tanzania, ambako Siasa ni 100% of the time...nenda Kenya uulize, nenda Uganda uulize, nenda Rwanda uulize, nenda Zimbabwe uulize, nenda South Afrika uulize Ethiopia, Ghana Congo....the list goes on bwana na jibu watalokupatia ni kuwa
Tunalumbana kisiasa bila vurugu za aina yeyote kwa sababu Fikra zetu zimejizatiti katika Utu, Umoja na Amani...Misingi yetu ipo imara na ngao yetu ni Imara,
Hao jamaa huwa wanabaki na mshangao kila wakisikia dhoruba tunazopata na kuzipita!
RNA wewe unatishia Watanzania kwa kutaka kuaminisha tunapoteza umoja kwa sababu zisizo na miguu wala kichwa!
Usibabaishwe na Siasa za hapa mtandaoni.
Ukweli mtupu hapo. Vyama vingine havina sera zinazoeleweka au wanashindwa kuziuza! Uko sahihi
Hao wachache wameshadhibitiwa, hawana lao Tanzania.
Fikra ipo moja tu. Umoja na Amani, na ni ndio ngao yetu kubwa!
Hilo kundi la tatu, ni la woga tu. Usitetereke
Lakini...
Ujikomboe na ...
Mabeberu na Vibaraka wake
Beberu ni Beberu na atapigwa vita milele Tanzania na Afrika yote.
Alichokifanya Magufuli kitaendelea kudumishwa. Wapende Wasipende
Magulification must go on.
Hayo ni yangu!