Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

Kifo cha Magufuli, Tanzania ilipata hasara ya karne moja, maumivu yake yatawafikia hata walioshangilia

1.Miezi miwili tu baada ya hiyo tarehe kampuni ya symbion ililipwa zaidi ya billioni 349 na mafisadi kuachiwa licha ya bunge kutoa azimio symbion wasilipwe na waliohusika wafungwe.

2. Licha ya bandari ya Dares salaam kuboreshwa hadi kufikia meli kubwa ya mita 300 kuweza kutia nanga hapo lakini bado wakubwa serikalini hawalitangazi hilo maana tayari walishakula 10% na kuiuza kwa mwarabu.

3. Kesi zote sasa Tanzania lazima ishindwe na ilipe mabilioni ya pesa za walipa kodi masikini wa Tanzania maana wakubwa ndani ya serikali wanajilipa kupitia makampuni hayo.

4. Bunge , Serikali wamehongwa kwa kununuliwa pikipiki zenye nembo ya rais Samia ili waweze kufanyia kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 kwa gharama ya kuuza bandari zote za Tanganyika.

5. Tanzania ya kabla ya hiyo tarehe 17 ilikuwa Tanzania ya viwanda na vilionekana vikimea kila mahali na kuleta maelfu ya ajira kwa vijana hadi nchi ikaingia uchumi wa kati, Tanzania ya baada ya hiyo tarehe haieleweki inasimamia nini, kila kona vinajengwa vituo vya mafuta bila kuzingatia sheria ya mita 500 kutoka kituo hadi kituo na hakuna anayejali!

6. Tanzania iliyokuwa na uwezo wa kujenga miradi mikubwa kama bwawa la umeme ,reli ya umeme, sasa viongozi wake wanasema haijiwezi kwa lolote kabisa na kila kitu lazima waje waarabu kutuendeshea!.

My take.
Gharama za kumpoteza Magufuli zilikuwa kubwa ndiyo maana wenye akili za kuona mbali tulilia sana kwani tulijua fika Tanzania ilimhitaji Magufuli kuliko Magufuli alivyokuwa anaihitaji.
Mnaacha kuangalia mbele kutwa kuongelea magufuri itasaidia nini?...alikufa baba wa taifa sembuse huyo muuaji
 
1.Miezi miwili tu baada ya hiyo tarehe kampuni ya symbion ililipwa zaidi ya billioni 349 na mafisadi kuachiwa licha ya bunge kutoa azimio symbion wasilipwe na waliohusika wafungwe.

2. Licha ya bandari ya Dares salaam kuboreshwa hadi kufikia meli kubwa ya mita 300 kuweza kutia nanga hapo lakini bado wakubwa serikalini hawalitangazi hilo maana tayari walishakula 10% na kuiuza kwa mwarabu.

3. Kesi zote sasa Tanzania lazima ishindwe na ilipe mabilioni ya pesa za walipa kodi masikini wa Tanzania maana wakubwa ndani ya serikali wanajilipa kupitia makampuni hayo.

4. Bunge , Serikali wamehongwa kwa kununuliwa pikipiki zenye nembo ya rais Samia ili waweze kufanyia kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 kwa gharama ya kuuza bandari zote za Tanganyika.

5. Tanzania ya kabla ya hiyo tarehe 17 ilikuwa Tanzania ya viwanda na vilionekana vikimea kila mahali na kuleta maelfu ya ajira kwa vijana hadi nchi ikaingia uchumi wa kati, Tanzania ya baada ya hiyo tarehe haieleweki inasimamia nini, kila kona vinajengwa vituo vya mafuta bila kuzingatia sheria ya mita 500 kutoka kituo hadi kituo na hakuna anayejali!

6. Tanzania iliyokuwa na uwezo wa kujenga miradi mikubwa kama bwawa la umeme ,reli ya umeme, sasa viongozi wake wanasema haijiwezi kwa lolote kabisa na kila kitu lazima waje waarabu kutuendeshea!.

My take.
Gharama za kumpoteza Magufuli zilikuwa kubwa ndiyo maana wenye akili za kuona mbali tulilia sana kwani tulijua fika Tanzania ilimhitaji Magufuli kuliko Magufuli alivyokuwa anaihitaji.
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
1.Miezi miwili tu baada ya hiyo tarehe kampuni ya symbion ililipwa zaidi ya billioni 349 na mafisadi kuachiwa licha ya bunge kutoa azimio symbion wasilipwe na waliohusika wafungwe.

2. Licha ya bandari ya Dares salaam kuboreshwa hadi kufikia meli kubwa ya mita 300 kuweza kutia nanga hapo lakini bado wakubwa serikalini hawalitangazi hilo maana tayari walishakula 10% na kuiuza kwa mwarabu.

3. Kesi zote sasa Tanzania lazima ishindwe na ilipe mabilioni ya pesa za walipa kodi masikini wa Tanzania maana wakubwa ndani ya serikali wanajilipa kupitia makampuni hayo.

4. Bunge , Serikali wamehongwa kwa kununuliwa pikipiki zenye nembo ya rais Samia ili waweze kufanyia kampeni za uchaguzi wa mwaka 2025 kwa gharama ya kuuza bandari zote za Tanganyika.

5. Tanzania ya kabla ya hiyo tarehe 17 ilikuwa Tanzania ya viwanda na vilionekana vikimea kila mahali na kuleta maelfu ya ajira kwa vijana hadi nchi ikaingia uchumi wa kati, Tanzania ya baada ya hiyo tarehe haieleweki inasimamia nini, kila kona vinajengwa vituo vya mafuta bila kuzingatia sheria ya mita 500 kutoka kituo hadi kituo na hakuna anayejali!

6. Tanzania iliyokuwa na uwezo wa kujenga miradi mikubwa kama bwawa la umeme ,reli ya umeme, sasa viongozi wake wanasema haijiwezi kwa lolote kabisa na kila kitu lazima waje waarabu kutuendeshea!.

My take.
Gharama za kumpoteza Magufuli zilikuwa kubwa ndiyo maana wenye akili za kuona mbali tulilia sana kwani tulijua fika Tanzania ilimhitaji Magufuli kuliko Magufuli alivyokuwa anaihitaji.


Tatizo ni mfumo huwezi kuwa na nchi nzima ina mifumo mibaya na kutegemea mtu mmoja kuendeleza nchi. Kama una akili pigania mfumo kuimarika
 
Tatizo ni mfumo huwezi kuwa na nchi nzima ina mifumo mibaya na kutegemea mtu mmoja kuendeleza nchi. Kama una akili pigania mfumo kuimarika

Nani wa kurekebisha mfumo?
 
Nani wa kurekebisha mfumo?
Mfumo haurekebishwi na mtu bali na watu. Wewe, mimi na watanzania wengine tunatakiwa kupigania katiba mpya na bora na sio kulalama na kusubiria mtu mmoja kubadilisha nchi haitatokea. Lakini watu wanamapungufu mengi sana. Pamoja na mazuri ya Magufuli kwa sisi ambao tunamfahamu alikuwa na mapungufu yake mengi tu. Hivyo mfumo kuwa mzuri na hautabadilishwa na mtu mmoja bali shinikizo la watanzania. ndiyo maana tukisema katiba mpya mnatakiwa kuelewa kwa undani ina maana gani?
 
Back
Top Bottom