Kesho ndo siku ambayo mourinho na vijana wake watakapo kufa mbele ya vijana wa Zidane...
Sioni ni njia IPI Man U watapita kuweza twaa ubingwa wa UEFA Super Cup 2017.Balaa litawakuta kuleee ulaya mashariki katika nchi ya Macedonia...
Asensio, Kroos, Modric, Casemiro na wengine wengi hakika watatamalaki katika dimba la Philip ii Arena katika mji wa Skopje...
Hakika kesho mtoto hatumwi sokoni tukutane saa 9:45pm majira ya Afrika Mashariki katika mabanda umiza au katika sofa zetu majumbani..
Sioni ni njia IPI Man U watapita kuweza twaa ubingwa wa UEFA Super Cup 2017.Balaa litawakuta kuleee ulaya mashariki katika nchi ya Macedonia...
Asensio, Kroos, Modric, Casemiro na wengine wengi hakika watatamalaki katika dimba la Philip ii Arena katika mji wa Skopje...
Hakika kesho mtoto hatumwi sokoni tukutane saa 9:45pm majira ya Afrika Mashariki katika mabanda umiza au katika sofa zetu majumbani..