Habari wadau.
Najua wengi tumeona habari za ajali ya vijana wawili ambao ni mashabiki tu wa WCB >> Tanzia: Team Diamond, Nevvo Msafi na Platnumzmond wafariki dunia
Imekuwa huzuni mitandaoni, msiba mkubwaaa kama amefariki mfanyakazi wa Diamond, kumbe ni mashabiki tu!
Msibani wameenda kina Queen Darleen na wengineo wengi hadi mama Diamond nae... Hii inaonesha kuheshimu mashabiki wao na hata vijana wengine wanaomshabikia Diamond wanapata nguvu zaidi kuonesha WCB ina upendo..
Msiba umemkuta Diamond nje ya nchi ila angekuwa Bongo angeenda pia na wanamsifia amechangia kidogo alichonacho kusapoti mazishi ya mashabiki wake..
Je, kina Juma Nature walikuwa wanajua hata majina ya mashabiki wao? Je, kina Lady Jaydee pia enzi wanatamba walikuwa wanaheshimu mashabiki wao?
Nakumbuka enzi za ujana niliendaga nunua T-shirt za East Coast Team pale Upanga .. Majibu niliyopewa eti hawauziii t-shirt madogo... ha ha ha imagine msanii anamkataa shabiki wake kisa ni dogo!
Kwa hizi mbinu za Diamond, WCB itawanyoosha sana wasanii wasiojua biashara inahitaji mbinu gani..
Mwarabu Fighter ni mlinzi tu lakini anaheshimiwa WCB na bosi wake kuliko hata mwalimu anavyoheshimiwa na Mkurugenzi ambaye ndie bosi wake.
Najua wengi tumeona habari za ajali ya vijana wawili ambao ni mashabiki tu wa WCB >> Tanzia: Team Diamond, Nevvo Msafi na Platnumzmond wafariki dunia
Imekuwa huzuni mitandaoni, msiba mkubwaaa kama amefariki mfanyakazi wa Diamond, kumbe ni mashabiki tu!
Msibani wameenda kina Queen Darleen na wengineo wengi hadi mama Diamond nae... Hii inaonesha kuheshimu mashabiki wao na hata vijana wengine wanaomshabikia Diamond wanapata nguvu zaidi kuonesha WCB ina upendo..
Msiba umemkuta Diamond nje ya nchi ila angekuwa Bongo angeenda pia na wanamsifia amechangia kidogo alichonacho kusapoti mazishi ya mashabiki wake..
Je, kina Juma Nature walikuwa wanajua hata majina ya mashabiki wao? Je, kina Lady Jaydee pia enzi wanatamba walikuwa wanaheshimu mashabiki wao?
Nakumbuka enzi za ujana niliendaga nunua T-shirt za East Coast Team pale Upanga .. Majibu niliyopewa eti hawauziii t-shirt madogo... ha ha ha imagine msanii anamkataa shabiki wake kisa ni dogo!
Kwa hizi mbinu za Diamond, WCB itawanyoosha sana wasanii wasiojua biashara inahitaji mbinu gani..
Mwarabu Fighter ni mlinzi tu lakini anaheshimiwa WCB na bosi wake kuliko hata mwalimu anavyoheshimiwa na Mkurugenzi ambaye ndie bosi wake.