Kifo cha mende ndiyo mtindo pendwa zaidi kwa wanawake

Kifo cha mende ndiyo mtindo pendwa zaidi kwa wanawake

Some womens found it exhausting and inflicted some pain
Hii lugha hapa

Ni kosa la jinai

Kifungu kidogo cha makosa ya uhujumu uchumi

Adhabu yake hakuna dhamana

Mnatuonaje la saba D [emoji15][emoji848]
 
Mjomba Mwenye kitengo chake nakuona nakuonaaa!!! .Hapa najua ndio uwanja wa nyumbaniiii!! 🤭
😅😅😅 Aaah! Mala moja moja.. Siku ukipatwa mwili wote una react kusikia raha yani unasikia msisimko wa ajabuuuu sanaaa usioelezeka
 
Kaka ya dunia Ni mengi Sana!umesahau style Ile ya msomalia kafia kwenye Fiat, urusi kavamia Ukraine,hapo hujasugua Gaga na hujachuma mchicha tembele!tutafika mbinguni tumechoka sana
Usikute mbinguni hatufiki kabisa..!!! Tutafia hapoo, mchambawima..!!
 
Hivi wee nyoka, lile jukwaa la wakubwa bado lipo? Nimelimiss maana nina maujuzi mapya kama yote...
Jukwaa mlikuwa manskinishort manyoko zenu nyie mkasababisha yaliyotokea..!! Swali la kizushi kwako Bantu Lady, hata To yeye na Shunie mnaweza jibu..!! Hivi maujuzi na umalaya kuna tofauti? Eti mwanafunzi mwenye tumatako tuwili bubblymolly una maoni hapo?
 
Back
Top Bottom