Kifo cha Mkandarasi wa CIA kilicho leta majonzi kwenye utawala Iran

Kifo cha Mkandarasi wa CIA kilicho leta majonzi kwenye utawala Iran

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA kumualika rafiki yake wa Israel kusaidiana kuteguwa kitendawili maana mtu alie kuwa ameuwawa sio tu alikuwa mwanajeshi wa USA alie kuwa na asili ya Iraq ila pia alikuwa na mafungamano na moja ya idara nyeti sana ya usalama wa Marekani CIA. Huyu sio mwingine Bali ni Nawres Hamid alie uwawa Dec 2019 ktk tukio baya kabisa kuwahi tokea ndani ya Iraq.

Kifo chake hakikuwa tu ni pigo ndani ya idara ya Jeshi la Marekani ila kilikuwa ni tusi kwa idara ya usalama wa Marekani CIA kutokana na umuhimu wa huyu Contractor. Haikupita muda ubalozi wa Marekani nchini Iraq pia ukavamiwa na kuharibiwa vibaya.

Ikumbukwe wakati haya yanaendelea ktk dunia ya siri ya wana usalama walikuwa wakikusanya taarifa muhimu sana jinsi watu wabaya walivyo weza dukua taarifa muhimu ndani ya idara za usalama wa Marekani na kuweza kumuuwa mtu alie kuwa muhimu sana ndani ya idara za usalama wa Taifa wa Marekani na Jeshi la Marekani. Mtu alie kuwa sio rahisi kumtambuwa ama kujuwa kazi anafanya kama huna taarifa za muhimu kutoka ndani ya idara au Jeshi la Marekani.
Mkandarasi huyu ndani ya Jeshi la Marekani alikuwa ni mzaliwa wa Iraq na ndie alikuwa mtu muhimu sana ktk utendaji wa Jeshi la Marekani na upangaji wa ulinzi ndani ya Taifa la Iraq. Marekani kwa kumtambuwa huyu Mkandarasi walimpa green passport yeye pamoja na familia yake. Yani familia yake hawatokaa wasikie njaa maisha yao yote na watoto wake wataingizwa ktk kuendeleza kazi ya baba yao. While baba yao akiwa vitani nakuijenga Iraq watoto na familia yake walikuwa wakila Raha Marekani.

Ktk jicho la tatu tuna weza kujiuliza why huyu Mkandarasi and why baada ya kifo chake Rais wa Marekani wakati ule Donald Trump Ali sign hati ya kifo kwa siri pasipo julisha Congress na alitoa taarifa fupi kwa Congress baada ya kumaliza mission.

Twende kwenye ulimwengu wa kijasusi na siri ambazo hata Mimi naandika kwa juu sana maana bado hazijakuwa reveal hata kwa bunge la Marekani Yani we call top secret mission. Only elite in side nation know... Under vault information.

Tetesi zina sema Before ya kifo cha huyu Muhandisi Hamid wa Jeshi la Marekani miaka zaid ya ishirini nyuma idara njeti ya ujasusi wa ndani ya Israel walinusa jambo ndani ya Taifa la Irani nakumtonya rafiki yake wakufa nakuzikana Marekani juu ya kikosi hatari kilicho undwa ndani ya Irani kikiwa na General katili na mwenye uwezo mkubwa wakivita same mtiifu kwa Khayatola Khomenei mkuu wataifa la Iran. Mossad walitoa report ambayo kwa kipindi kirefu ndani ya Marekani Idara nyeti za usalama zimekuwa zikivutana juu ya kula kichwa cha huyu General mtiifu kwa jina Qasseim Soleiman. Una ambiwa idara nyeti za usalama wa Marekani baada ya kuchunguza na kujuwa ukweli wakike waliletewa na rafiki yao walitoa hati ya kifo ambayo ilipaswa kuwa sign na Rais wa Marekani ila una ambiwa kwa unyeti wa hii hati zaidi ya Marais wawili before Donald Trump walipiga chini ku sign hati ya kifo kwa huyu Mwamba.
Ila baada ya kifo cha kudunguliwa kwa huyu Mkandarasi na uvamizi wa ubalozi wa Marekani nakuupiga mawe nakuharibika vibaya USA under very special elite team they was decide to eliminate Qasseim Soleiman. Mmoja wa ma General walitikisa mashariki ya kati.
Iligundulika huyu jamaa na mwenzake Mohamed Mohandiz ndio walikuwa nyuma ya tukio la mauwaji ya huyu Mkandarasi na kuvamiwa kwa ubalozi wa Marekani. Jambo liliwatisha sana na kuwaumiza Wamarekani nikipata taarifa ya siri kuwa mwamba anaingia Iraq nakutoka kama kwake Yani analala nakula life ndani ya Nchi wao wamo while anajuwa hawajamalizana . Yes Iran na USA hawajamalizana na wanajuwa Hilo.
Basi Marekani akatumia idara zake kupata taarifa jinsi jamaa anavyo zunguka na kuingia ndani ya Iraq kama kwake... Maana hawaoni ndege au magari yakiingia ktk Taifa hilo wakayashuku........ Ikumbukwe anga zima la Iraq jamaa ana li monitor kiasi hakuna ujinga utafanya asikuone.
Tetesi zina sema Mossad ndio mwamba wa hapo mashariki ya kati Yani hapa mashariki ya kati hata ukiwatuma kitu ndani ya ikulu za Iran jamaa watakulete..... Shabashi....
Unaweza kuwaza how jamaa waliweza. Pata file zima la mshikaji na USA wakamalizia.....



Itaendelea..
 
Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA kumualika rafiki yake wa Israel kusaidiana kuteguwa kitendawili maana mtu alie kuwa ameuwawa sio tu alikuwa mwanajeshi wa USA alie kuwa na asili ya Iraq ila pia alikuwa na magungamano na moja ya idara nyeti sana ya usalama wa Marekani CIA.

Kifo chake hakikuwa tu ni pigo ndani ya idara ya Jeshi la Marekani ila ilikuwa ni tusi kwa idara ya usalama wa Marekani CIA kutokana na umuhimu wa huyu Mkandarasi. Haikupita muda ubalozi wa Marekani nchini Iraq ukavamiwa na kuharibiwa vibaya.

Ikumbukwe wakati haya yanaendelea ktk dunia ya siri ya wana usalama walikuwa wakikusanya taarifa muhimu sana jinsi watu wabaya walivyo weza dukua taarifa muhimu ndani ya idara za usalama wa Marekani na kuweza kumuuwa mtu alie kuwa muhimu sana ndani ya idara za usalama wa Marekani mtu alie kuwa sio rahisi kumtambuwa ama kujuwa kazi anafanya kama huna taarifa za muhimu.

Itaendelea..
Sasa hii stori ina manufaa gani kwetu?
 
Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA kumualika rafiki yake wa Israel kusaidiana kuteguwa kitendawili maana mtu alie kuwa ameuwawa sio tu alikuwa mwanajeshi wa USA alie kuwa na asili ya Iraq ila pia alikuwa na magungamano na moja ya idara nyeti sana ya usalama wa Marekani CIA.

Kifo chake hakikuwa tu ni pigo ndani ya idara ya Jeshi la Marekani ila ilikuwa ni tusi kwa idara ya usalama wa Marekani CIA kutokana na umuhimu wa huyu Mkandarasi. Haikupita muda ubalozi wa Marekani nchini Iraq ukavamiwa na kuharibiwa vibaya.

Ikumbukwe wakati haya yanaendelea ktk dunia ya siri ya wana usalama walikuwa wakikusanya taarifa muhimu sana jinsi watu wabaya walivyo weza dukua taarifa muhimu ndani ya idara za usalama wa Marekani na kuweza kumuuwa mtu alie kuwa muhimu sana ndani ya idara za usalama wa Marekani mtu alie kuwa sio rahisi kumtambuwa ama kujuwa kazi anafanya kama huna taarifa za muhimu.

Itaendelea..
Tunasubiria mkuu.
Pia unheboreaha hwadinh isomeke SABABU ZILIZOPELEKEA IRAN KUTAHARUKI KWA KIFO CHA MKANDARASI WA CIA
 
Mara Iran mara Iraq....halafu hakuna tarehe...ilikuwa mwaka gani 1980?2020?
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Hili liuaji. Just show us where are the remainings of our beloved brother Ben Saa8 so that we can give him a decent burial.
Niwe muuwaji nakuishi kwa furaha? Sina dam ya mtu wala mpango tu wakuuwa mtu ila hata wewe nikikwambia kesho hutakuja kupost tena huu ujinga na usije ku post ataibuka tena mtu kusema nikulete maana nimekupoteza. ishi kwa akili... Mossad wanauwa wasaidiz wa Marais ila kamwe hawauwi Rais how come umo humu ndani unamtia kijiti machon Rais wako nakutaka uwe na hiyo nafasi tena... Ishi kwa akili. Rais sio Rais anakundi kubwa sana huwezi kumjuwa kivileeeeeee
 
Katika hali isiyo ya kawaida Jeshi la Marekani lilipata pigo la mwaka ndani ya ardhi ya Iraq baada ya mmoja wa watu muhimu sana ndani ya Jeshi lake kuuwawa ktk tukio ambalo lilifanya USA kumualika rafiki yake wa Israel kusaidiana kuteguwa kitendawili maana mtu alie kuwa ameuwawa sio tu alikuwa mwanajeshi wa USA alie kuwa na asili ya Iraq ila pia alikuwa na magungamano na moja ya idara nyeti sana ya usalama wa Marekani CIA.

Kifo chake hakikuwa tu ni pigo ndani ya idara ya Jeshi la Marekani ila ilikuwa ni tusi kwa idara ya usalama wa Marekani CIA kutokana na umuhimu wa huyu Mkandarasi. Haikupita muda ubalozi wa Marekani nchini Iraq ukavamiwa na kuharibiwa vibaya.

Ikumbukwe wakati haya yanaendelea ktk dunia ya siri ya wana usalama walikuwa wakikusanya taarifa muhimu sana jinsi watu wabaya walivyo weza dukua taarifa muhimu ndani ya idara za usalama wa Marekani na kuweza kumuuwa mtu alie kuwa muhimu sana ndani ya idara za usalama wa Taifa wa Marekani na Jeshi la Marekani. Mtu alie kuwa sio rahisi kumtambuwa ama kujuwa kazi anafanya kama huna taarifa za muhimu kutoka ndani ya idara au Jeshi la Marekani.
Mkandarasi huyu ndani ya Jeshi la Marekani alikuwa ni mzaliwa wa Iraq na ndie alikuwa mtu muhimu sana ktk utendaji wa Jeshi la Marekani na upangaji wa ulinzi ndani ya Taifa la Iraq. Marekani kwa kumtambuwa huyu Mkandarasi walimpa green passport yeye pamoja na familia yake. Yani familia yake hawatokaa wasikie njaa maisha yao yote na watoto wake wataingizwa ktk kuendeleza kazi ya baba yao. While baba yao akiwa vitani nakuijenga Iraq watoto na familia yake walikuwa wakila Raha Marekani.

Ktk jicho la tatu tuna weza kujiuliza why huyu Mkandarasi and why baada ya kifo chake Rais wa Marekani wakati ule Donald Trump Ali sign hati ya kifo kwa siri pasipo julisha Congress na alitoa taarifa fupi kwa Congress baada ya kumaliza mission.

Twende kwenye ulimwengu wa kijasusi na siri ambazo hata Mimi naandika kwa juu sana maana bado hazijakuwa reveal hata kwa bunge la Marekani Yani we call top secret mission. Only elite in side nation know... Under vault information.

Tetesi zina sema Before ya kifo cha huyu Muhandisi wa Jeshi la Marekani miaka zaid ya ishirini nyuma idara njeti ya ujasusi wa ndani ya Israel walinusa jambo ndani ya Taifa la Irani nakumtonya rafiki yake wakufa nakuzikana Marekani juu ya kikosi hatari kilicho undwa ndani ya Irani kikiwa na General katili na mwenye uwezo mkubwa wakivita same mtiifu kwa Khayatola Khomenei mkuu wataifa la Iran. Mossad walitoa report ambayo kwa kipindi kirefu ndani ya Marekani Idara nyeti za usalama zimekuwa zikivutana juu ya kula kichwa cha huyu General mtiifu kwa jina Qasseim Soleiman. Una ambiwa idara nyeti za usalama wa Marekani baada ya kuchunguza na kujuwa ukweli wakike waliletewa na rafiki yao walitoa hati ya kifo ambayo ilipaswa kuwa sign na Rais wa Marekani ila una ambiwa kwa unyeti wa hii hati zaidi ya Marais wawili before Donald Trump walipiga chini ku sign hati ya kifo kwa huyu Mwamba.
Ila baada ya kifo cha kudunguliwa kwa huyu Mkandarasi na uvamizi wa ubalozi wa Marekani nakuupiga mawe nakuharibika vibaya USA under very special elite team they was decide to eliminate Qasseim Soleiman. Mmoja wa ma General walitikisa mashariki ya kati.
Iligundulika huyu jamaa na mwenzake Mohamed Mohandiz ndio walikuwa nyuma ya tukio la mauwaji ya huyu Mkandarasi na kuvamiwa kwa ubalozi wa Marekani. Jambo liliwatisha sana na kuwaumiza Wamarekani nikipata taarifa ya siri kuwa mwamba anaingia Iraq nakutoka kama kwake Yani analala nakula life ndani ya Nchi wao wamo while anajuwa hawajamalizana . Yes Iran na USA hawajamalizana na wanajuwa Hilo.
Basi Marekani akatumia idara zake kupata taarifa jinsi jamaa anavyo zunguka na kuingia ndani ya Iraq kama kwake... Maana hawaoni ndege au magari yakiingia ktk Taifa hilo wakayashuku........ Ikumbukwe anga zima la Iraq jamaa ana li monitor kiasi hakuna ujinga utafanya asikuone.
Tetesi zina sema Mossad ndio mwamba wa hapo mashariki ya kati Yani hapa mashariki ya kati hata ukiwatuma kitu ndani ya ikulu za Iran jamaa watakulete..... Shabashi....
Unaweza kuwaza how jamaa waliweza.....



Itaendelea..
Ungeelezea majasusi wa Bongo wanavopambana kuhakikisha maji na UMEME unapatikana na ajira pia!sio hayo ya Marekani na israel!!
 
Mimi naandika kwa juu sana maana bado hazijakuwa reveal hata kwa bunge la Marekani Yani we call top secret mission. Only elite in side nation know... Under vault information.

Itaendelea..
watz kwa story za porojo hatujambo.....yaani wenye marekani yao hususuan baraza la congress hawajui taarifa hizi ila wewe mla mihogo wa huku buza kwa lulenge unajua....tuache aiseee....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
watz kwa story za porojo hatujambo.....yaani wenye marekani yao hususuan baraza la congress hawajui taarifa hizi ila wewe mla mihogo wa huku buza kwa lulenge unajua....tuache aiseee....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angeandika majasusi ya kiuchumi ya kina Rostam yanavopambana kuzalisha ajira,Kuondoa uhaba wa maji na UMEME na sio kushupalia KILA siku eti Israel ni Taifa takatifu wakati linashirikiana na Marekani KILA siku kuua WATU na kusababisha maafa yasiyo na mfano katika mataifa Mbali Mbali DUNIANI!!

Kama lingekuwa takatifu lingekemea uovu wa Marekani kama super power na si vinginevyo!!

Tuwe wakweli!!
 
Back
Top Bottom